Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,085
Kwa hali ya kisiasa iliyopo ni kwamba Red Brigade ni muhimu.CCM wanatumia Green Guard kutisha wafuasi wetu halafu hakuna anayelalamika na polisi wanawalea tu.Sasa itabidi CCM tuende nao kwa hoja katika mapambano rasmi na yasiyo rasmi.Watake wasitake
kitufe cha Like kimetoweka ghafla ila nimeipenda comment yako. LIKE