RED BRIGADE watembeza kichapo kwa Mgombea wa CCM

Idimulwa

JF-Expert Member
May 27, 2011
4,503
1,722
Vijana wa CHADEMA kata ya Kirumba jijini Mwanza jana waliamua kutoa kichapo kwa mgombewa wa kiti cha udiwani kata ya Kirumba baada ya kumkuta akigawa pesa kwa wananchi katika kitongoji cha Kigoto majira ya saa tano usiku jana nakisha kumpeleka wenyewe kituo cha polisi Kirumba.Vijana hao waliokuwa wamefura kwa hasira waliluwa wakililalamikia jeshi la polisi na Takukuru kutofanyia kazi taarifa zao.CCM na CDM zinachuana vikali katika kampeni za uchaguzi huo mudogo kufuatia kifo cha Diwani MANOKO(CHADEMA) kilichotokea mwaka jana.
 
kazi nzuri katika inasema kila raia ana wajibu wa kuzuia uhalifu usitendeke. so asante sana chadema kwa kutoa elimu ya uraia kwa wananchi
 
Ilikua haina haja ya kumchapa, lakini wamefanya jambo la maana sana kumpeleka kituo cha Polisi hapo tutaona kama polisi watamshughulikia au watamwachia...
 
Excellent!!!!!!!!!!!!!!!!! Peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeez ..............Power. Mwendo mdundo
 
Ilikua haina haja ya kumchapa, lakini wamefanya jambo la maana sana kumpeleka kituo cha Polisi hapo tutaona kama polisi watamshughulikia au watamwachia...

Wamefanya la maana kumshikisha adabu siku ingine asirudie tena
 
Ilikua haina haja ya kumchapa, lakini wamefanya jambo la maana sana kumpeleka kituo cha Polisi hapo tutaona kama polisi watamshughulikia au watamwachia...

Mkuu mbona ni obvious ataachiwa huru. Polisi wenyewe wamekaa wakisubiri hao hao vijana waliomkamata wawapatie ushahidi, badala ya kufanyia kazi hizo tuhuma!
 
Alinipigia jana usiku mtu wa kigoto aliyekuwa kwenye tukio na mi nikasema acha wamshikishe adabu huyo gamba mtoa rushwa.
 
kazi nzuri katika inasema kila raia ana wajibu wa kuzuia uhalifu usitendeke. so asante sana chadema kwa kutoa elimu ya uraia kwa wananchi
Suala la kujichukulia sheria mkononi si la kushahabikia mtu anaweza kuuawa kwa majungu, kubambikiwa kesi au propaganda za kisiasa tu. Ninashauri Polisi wawakamate hao vijana waliompiga huyo mgombea na kama wao wanauthibitisho kwamba alitoa rushwa basi wangefuata utaratibu.
 
suala la kujichukulia sheria mkononi si la kushahabikia mtu anaweza kuuawa kwa majungu, kubambikiwa kesi au propaganda za kisiasa tu. Ninashauri polisi wawakamate hao vijana waliompiga huyo mgombea na kama wao wanauthibitisho kwamba alitoa rushwa basi wangefuata utaratibu.
wewe hujui maana ya polisi jamii?kamata mhalifu popote walipo wananzengo sulubu usiue na peleke polisi suburi hatua on the spot,na kama polisi wakileta zingu siku nyingine malizeni hukohuko,hiv wewe uafikiri walijichukulia sheria mkononi!!!wakiibebaje mkononi,si walimpeleka polisi au wewe ulifikiri wafanye nini?think twice
 
Back
Top Bottom