Ngwathra
Platinum Member
- Jul 11, 2007
- 5,912
- 11,106
Wanabodi tumeona watu wanajitoa Chadema siku za karibuni na wote wamekua wanatoa sababu kubwa 3, moja kwamba walimuunga mkono Mheshimiwa F. A. Mbowe, mbili wanabaguliwa so wanaenda kusiko na ubaguzi na tatu wametukanwa/wanatukanwa.
Sisi kama wanajamii kwa kuweka kumbukumbu sawa na kutenda haki kuna haja ya kuorodhoresha waliotukanwa na matusi waliyotakanwa, tuweze kutendea haki justification zao. Kujitoa chama ulichokipigania ujana wako wote kwa nguvu na mali sio kitu kidogo so tuone matusi yanayoweza kufanya mtu mzee kama Kigaila akaacha chama yatakua ni makubwa na mapya kiasi gani ambayo hajawahi kutukanwa maisha yake yote aliyoishi ya nusu karne.
Mimi binafsi sijasikia wala kuona hayo matusi iwe kwenye maandishi, clips wala voice, wanayotukanwa hawa watanzania wenzetu. Kwa heshima na taadhima wanabodi mliosikia au kuona hebu wekeni hapa tuyaone katika aina yoyote ya media, sauti, picha, screenshot, video clips etc., tujiridhishe na kupima
Vinginevyo ibaki tu ni mkono wa kaka abdu.l unavua watu uchi na utu wao kama tulivyodokezwa hapo nyuma kwamba kuna uvunaji wa fweza toka kwa huyu kijana kusambaratisha hiki chama tishio kwa mama yetu.
For the benefit of doubts nawakilisha...
Sisi kama wanajamii kwa kuweka kumbukumbu sawa na kutenda haki kuna haja ya kuorodhoresha waliotukanwa na matusi waliyotakanwa, tuweze kutendea haki justification zao. Kujitoa chama ulichokipigania ujana wako wote kwa nguvu na mali sio kitu kidogo so tuone matusi yanayoweza kufanya mtu mzee kama Kigaila akaacha chama yatakua ni makubwa na mapya kiasi gani ambayo hajawahi kutukanwa maisha yake yote aliyoishi ya nusu karne.
Mimi binafsi sijasikia wala kuona hayo matusi iwe kwenye maandishi, clips wala voice, wanayotukanwa hawa watanzania wenzetu. Kwa heshima na taadhima wanabodi mliosikia au kuona hebu wekeni hapa tuyaone katika aina yoyote ya media, sauti, picha, screenshot, video clips etc., tujiridhishe na kupima
Vinginevyo ibaki tu ni mkono wa kaka abdu.l unavua watu uchi na utu wao kama tulivyodokezwa hapo nyuma kwamba kuna uvunaji wa fweza toka kwa huyu kijana kusambaratisha hiki chama tishio kwa mama yetu.
For the benefit of doubts nawakilisha...