no gentleman, relax,
sijamtaja lofa wala sihitaji yeyote ajiite lofa humu jukwaani,
but katika uhalisia mtu timamu hawezi kuinjoy wala kujiskia happy kukataliwa au kuondokewa na watu wake muhimu na wa karibu sana, daima atasikitika na kuwaza sana jinsi ya kuikabili kesho yake bila ya hao walioondoka. But lofa anaweza kuinjoy tu mazingira yote yale, kwasababu yupo yupo tu.
hata hivyo,
ni uhuru na haki kwa kila mTanzania kuamua mustakabali na uelekeo wa kufanya siasa kulingana na mtazamo wake huru. Nchi hii ni yetu sote na ni muhimu sana kufanya siasa safi bila kuoneana wivu, lakini ile muhimu zaidi tukubaliane kutofautiana kwa amani kama Familia ya JF na waTanzania kwa ujumla,
hiyo ni muhimu zaidi gentleman, right?