Records za matusi kwa g55

Records za matusi kwa g55

Wanabodi tumeona watu wanajitoa Chadema siku za karibuni na wote wamekua wanatoa sababu kubwa 3, moja kwamba walimuunga mkono Mheshimiwa F. A. Mbowe, mbili wanabaguliwa so wanaenda kusiko na ubaguzi na tatu wametukanwa/wanatukanwa.

Sisi kama wanajamii kwa kuweka kumbukumbu sawa na kutenda haki kuna haja ya kuorodhoresha waliotukanwa na matusi waliyotakanwa, tuweze kutendea haki justification zao. Kujitoa chama ulichokipigania ujana wako wote kwa nguvu na mali sio kitu kidogo so tuone matusi yanayoweza kufanya mtu mzee kama Kigaila akaacha chama yatakua ni makubwa na mapya kiasi gani ambayo hajawahi kutukanwa maisha yake yote aliyoishi ya nusu karne.

Mimi binafsi sijasikia wala kuona hayo matusi iwe kwenye maandishi, clips wala voice, wanayotukanwa hawa watanzania wenzetu. Kwa heshima na taadhima wanabodi mliosikia au kuona hebu wekeni hapa tuyaone katika aina yoyote ya media, sauti, picha, screenshot, video clips etc., tujiridhishe na kupima

Vinginevyo ibaki tu ni mkono wa kaka abdu.l unavua watu uchi na utu wao kama tulivyodokezwa hapo nyuma kwamba kuna uvunaji wa fweza toka kwa huyu kijana kusambaratisha hiki chama tishio kwa mama yetu.

For the benefit of doubts nawakilisha...
Mimi nashauri Chadema wabaki kuboresha na kurekebishana kwa waliobaki ili nao wasiondoke. Kwamba sema, tusi gani umetumanwa sioni mantiki kwasababu mtu anaweza akasema ," wewe una akili nyingi" bado likawa tusi kwa aliyeambiwa na lisiwe tusi kwa mwingine!
 
Ila hawa jamaa jau sana. Kuondoka CHADEMA sio ishu kubwa sana kwani kwanza ndio demokrasia yenyewe na pili hao ni watu wazima wana maamuzi yao binafsi na hakuna wa kuwaingilia hata kidogo. Tatizo ninaliona mimi ni watu wazima kumezeshwa "script" kama bongomovie matokeo yake wamegeuka kituko maana kila anayeondoka sababu ni zile zile tatu Mbowe katukanwa, tunabaguliwa na ndoto zetu za kugombea zimezimwa. Na mwingine juzi kaja na mpya kabisa eti alinyimwa siti kwenye gari.

Kwa kuwasaidia tu kama wangekuwa wajanja wangeondoka kimya kimya ingetosha sana kwani kwenye siasa dakika moja ni kubwa sana kubadilisha kila kitu. Na hakuna kitu kizuri maishani kama kuweka akiba ya maneno hasa kwa wanasiasa.
 
Inawezekana ni mwanachama wa chadema ila hufuatilii hata mikutano yao mkuu na sikulaumu maana ukweli no kwamba hii ndo chadema yenye wafuasa zaidi ya milioni 10 (wanavyodai) ila kwa ground hawapo. Juzi lema akiwa Bukoba kashusha kawaita hao mnaosema wazee kwamba ni mafala.
 
Wanabodi tumeona watu wanajitoa Chadema siku za karibuni na wote wamekua wanatoa sababu kubwa 3, moja kwamba walimuunga mkono Mheshimiwa F. A. Mbowe, mbili wanabaguliwa so wanaenda kusiko na ubaguzi na tatu wametukanwa/wanatukanwa.

Sisi kama wanajamii kwa kuweka kumbukumbu sawa na kutenda haki kuna haja ya kuorodhoresha waliotukanwa na matusi waliyotakanwa, tuweze kutendea haki justification zao. Kujitoa chama ulichokipigania ujana wako wote kwa nguvu na mali sio kitu kidogo so tuone matusi yanayoweza kufanya mtu mzee kama Kigaila akaacha chama yatakua ni makubwa na mapya kiasi gani ambayo hajawahi kutukanwa maisha yake yote aliyoishi ya nusu karne.

Mimi binafsi sijasikia wala kuona hayo matusi iwe kwenye maandishi, clips wala voice, wanayotukanwa hawa watanzania wenzetu. Kwa heshima na taadhima wanabodi mliosikia au kuona hebu wekeni hapa tuyaone katika aina yoyote ya media, sauti, picha, screenshot, video clips etc., tujiridhishe na kupima

Vinginevyo ibaki tu ni mkono wa kaka abdu.l unavua watu uchi na utu wao kama tulivyodokezwa hapo nyuma kwamba kuna uvunaji wa fweza toka kwa huyu kijana kusambaratisha hiki chama tishio kwa mama yetu.

For the benefit of doubts nawakilisha...
G55 mnawaita NJAA 55. Hilo kama sio tusi ni nini? Kwa nini msiwapinge kwa hoja zao bila kuwakejeli na kuwaita majina mabaya?
 
Inawezekana ni mwanachama wa chadema ila hufuatilii hata mikutano yao mkuu na sikulaumu maana ukweli no kwamba hii ndo chadema yenye wafuasa zaidi ya milioni 10 (wanavyodai) ila kwa ground hawapo. Juzi lema akiwa Bukoba kashusha kawaita hao mnaosema wazee kwamba ni mafala.


Ahsante kwa mchango wako mkuu, so kuitwa fala (kama ni kweli) inatosha mtu kujivua uanachama alioupambania kwa miaka 20 au zaidi? Kaitwa fala mara ngapi kwa maisha yake? Kama upo vizuri mkuu ni yeye au wewe unahitaji kupimwa akili kuhusu uwezo wa kufanya maamuzi sahihi! Not sure sana though
 
Wanabodi tumeona watu wanajitoa Chadema siku za karibuni na wote wamekua wanatoa sababu kubwa 3, moja kwamba walimuunga mkono Mheshimiwa F. A. Mbowe, mbili wanabaguliwa so wanaenda kusiko na ubaguzi na tatu wametukanwa/wanatukanwa.

Sisi kama wanajamii kwa kuweka kumbukumbu sawa na kutenda haki kuna haja ya kuorodhoresha waliotukanwa na matusi waliyotakanwa, tuweze kutendea haki justification zao. Kujitoa chama ulichokipigania ujana wako wote kwa nguvu na mali sio kitu kidogo so tuone matusi yanayoweza kufanya mtu mzee kama Kigaila akaacha chama yatakua ni makubwa na mapya kiasi gani ambayo hajawahi kutukanwa maisha yake yote aliyoishi ya nusu karne.

Mimi binafsi sijasikia wala kuona hayo matusi iwe kwenye maandishi, clips wala voice, wanayotukanwa hawa watanzania wenzetu. Kwa heshima na taadhima wanabodi mliosikia au kuona hebu wekeni hapa tuyaone katika aina yoyote ya media, sauti, picha, screenshot, video clips etc., tujiridhishe na kupima

Vinginevyo ibaki tu ni mkono wa kaka abdu.l unavua watu uchi na utu wao kama tulivyodokezwa hapo nyuma kwamba kuna uvunaji wa fweza toka kwa huyu kijana kusambaratisha hiki chama tishio kwa mama yetu.

For the benefit of doubts nawakilisha...
Hizi ndizo lugha za wasariti, Usaliti ulianza karne na karne zilizo pita, kumbuka hata Yuda alimsaliti Yesu kwa vipande therathini vya fedha, hata kwenye ndoa zetu kunausariti, rugha ya wasariti ni hiyohiyo palikuwa na shida Fulani mara ooh nilikua nabaguliwa mara ooh sikuwa nashirikishwa n.k Hawa Watu shida ni Maisha waliyo zowea yanapo badilika, mahasimu wao hupenyesha rupia. "Penye udhia penyesha rupia" msemo huu wenye mamlaka hufanyia kazi sana. USAILITI KATIKA MAMBO YA HAKI NI DHAMBI KAMA DHAMBI NYINGINE.
 
G55 mnawaita NJAA 55. Hilo kama sio tusi ni nini? Kwa nini msiwapinge kwa hoja zao bila kuwakejeli na kuwaita majina mabaya?

Aisee...

Kama kuitwa hivyo tu inatosha kujivua uanachama wa chama ulichopigania kukijenga miaka yako yote ya ujana basi utakua na matatizo makubwa zaidi ya hiyo njaa iliyotajwa! Mawazo yangu though sio lazima iwe kweli.

Kuna vitu vinahitaji tafakari kubwa zaidi ya mihemko kufanya maamuzi, kama mtu ukiitwa una njaa unazira kabisa basi una mapungufu makubwa na ungewezaje sasa kuongoza watu km una premature emotions za namna hiyo? Hii inaprove kwamba kuna kitu cha ziada sio matusi, kwa sababu wabongo tunaanza kutukanwa na wazazi wetu wakati hata hajui maana ya matusi yenyewe, then na tunaokua nao, then shule na watoto wenzetu, then waalimu wanatutukana sana then kazini ni nani boss wake hamtukani, so hawa jamaa walikua hawajazoea tu matusi na kupuuza name calling??? Watakua special sana basi

So strange😎
 
Zitto kaitwa msaliti miaka na miaka ulishaona anazira? Ukiwa mwanasiasa unatakiwa kuwa na ngozi ngumu wanasema wahenga, wao wanajua ngozi ngumu ni ya mabati au stainless steel?

Rushwa tu wamekula coz rushwa inapofusha siku zote
 
Wanabodi tumeona watu wanajitoa Chadema siku za karibuni na wote wamekua wanatoa sababu kubwa 3, moja kwamba walimuunga mkono Mheshimiwa F. A. Mbowe, mbili wanabaguliwa so wanaenda kusiko na ubaguzi na tatu wametukanwa/wanatukanwa.

Sisi kama wanajamii kwa kuweka kumbukumbu sawa na kutenda haki kuna haja ya kuorodhoresha waliotukanwa na matusi waliyotakanwa, tuweze kutendea haki justification zao. Kujitoa chama ulichokipigania ujana wako wote kwa nguvu na mali sio kitu kidogo so tuone matusi yanayoweza kufanya mtu mzee kama Kigaila akaacha chama yatakua ni makubwa na mapya kiasi gani ambayo hajawahi kutukanwa maisha yake yote aliyoishi ya nusu karne.

Mimi binafsi sijasikia wala kuona hayo matusi iwe kwenye maandishi, clips wala voice, wanayotukanwa hawa watanzania wenzetu. Kwa heshima na taadhima wanabodi mliosikia au kuona hebu wekeni hapa tuyaone katika aina yoyote ya media, sauti, picha, screenshot, video clips etc., tujiridhishe na kupima

Vinginevyo ibaki tu ni mkono wa kaka abdu.l unavua watu uchi na utu wao kama tulivyodokezwa hapo nyuma kwamba kuna uvunaji wa fweza toka kwa huyu kijana kusambaratisha hiki chama tishio kwa mama yetu.

For the benefit of doubts nawakilisha...
Siti ya mbele kabisa kulia
 
Wanabodi tumeona watu wanajitoa Chadema siku za karibuni na wote wamekua wanatoa sababu kubwa 3, moja kwamba walimuunga mkono Mheshimiwa F. A. Mbowe, mbili wanabaguliwa so wanaenda kusiko na ubaguzi na tatu wametukanwa/wanatukanwa.

Sisi kama wanajamii kwa kuweka kumbukumbu sawa na kutenda haki kuna haja ya kuorodhoresha waliotukanwa na matusi waliyotakanwa, tuweze kutendea haki justification zao. Kujitoa chama ulichokipigania ujana wako wote kwa nguvu na mali sio kitu kidogo so tuone matusi yanayoweza kufanya mtu mzee kama Kigaila akaacha chama yatakua ni makubwa na mapya kiasi gani ambayo hajawahi kutukanwa maisha yake yote aliyoishi ya nusu karne.

Mimi binafsi sijasikia wala kuona hayo matusi iwe kwenye maandishi, clips wala voice, wanayotukanwa hawa watanzania wenzetu. Kwa heshima na taadhima wanabodi mliosikia au kuona hebu wekeni hapa tuyaone katika aina yoyote ya media, sauti, picha, screenshot, video clips etc., tujiridhishe na kupima

Vinginevyo ibaki tu ni mkono wa kaka abdu.l unavua watu uchi na utu wao kama tulivyodokezwa hapo nyuma kwamba kuna uvunaji wa fweza toka kwa huyu kijana kusambaratisha hiki chama tishio kwa mama yetu.

For the benefit of doubts nawakilisha...
Ukweli ni kuwa Mbowe alijitengenezea kahimaya ambako kalimthamini na kumuheshimu bila ukomo! Bila kuficha hawa wanaojitoa walikuwa wanawaona viongozi wengine kama makapi na kuwapaka mafuta kwa mgongo wa chupa!

Hivyo ni bora wameondoka kwa hiari yao wenyewe vinginevyo wangevuruga zaidi!
 
Wanabodi tumeona watu wanajitoa Chadema siku za karibuni na wote wamekua wanatoa sababu kubwa 3, moja kwamba walimuunga mkono Mheshimiwa F. A. Mbowe, mbili wanabaguliwa so wanaenda kusiko na ubaguzi na tatu wametukanwa/wanatukanwa.

Sisi kama wanajamii kwa kuweka kumbukumbu sawa na kutenda haki kuna haja ya kuorodhoresha waliotukanwa na matusi waliyotakanwa, tuweze kutendea haki justification zao. Kujitoa chama ulichokipigania ujana wako wote kwa nguvu na mali sio kitu kidogo so tuone matusi yanayoweza kufanya mtu mzee kama Kigaila akaacha chama yatakua ni makubwa na mapya kiasi gani ambayo hajawahi kutukanwa maisha yake yote aliyoishi ya nusu karne.

Mimi binafsi sijasikia wala kuona hayo matusi iwe kwenye maandishi, clips wala voice, wanayotukanwa hawa watanzania wenzetu. Kwa heshima na taadhima wanabodi mliosikia au kuona hebu wekeni hapa tuyaone katika aina yoyote ya media, sauti, picha, screenshot, video clips etc., tujiridhishe na kupima

Vinginevyo ibaki tu ni mkono wa kaka abdu.l unavua watu uchi na utu wao kama tulivyodokezwa hapo nyuma kwamba kuna uvunaji wa fweza toka kwa huyu kijana kusambaratisha hiki chama tishio kwa mama yetu.

For the benefit of doubts nawakilisha...
Anza kutunza tusi hilo lililopo paragraph ya pili kutoka chini.....ni bonge la tusi. Wastaarabu wanakimbia ujinga ujinga kama huo.
 
Anza kutunza tusi hilo lililopo paragraph ya pili kutoka chini.....ni bonge la tusi. Wastaarabu wanakimbia ujinga ujinga kama huo.

Mtafosi sana anyway, kama mwanasiasa anaogopa matusi basi kusingekuwa na siasa, kuna mtu analamba matusi (kama ndio hayo) kama mama yetu, Trump, Zitto, Zuma, Ruto, Zelensky, Netanyahu etc, mbona hawajazira?
 
Mtafosi sana anyway, kama mwanasiasa anaogopa matusi basi kusingekuwa na siasa, kuna mtu analamba matusi (kama ndio hayo) kama mama yetu, Trump, Zitto, Zuma, Ruto, Zelensky, Netanyahu etc, mbona hawajazira?
Hao ndio wanasii hasaa wakweli wenye ngozi ya nungunungu.Na sii wana sii hasaa akina Mrema.Mr.Trumpet angezira urais awamu ya pili angeusikia ndotoni na jela wanasii hasaa fitna kama wa chama kijani wangemtia lupango.
 
Kwa Tafsiri ya Salum Mwalimu na Kigaila, Matusi makubwa ni kunyang'anywa vyeo vya kuteuliwa
 
Wanabodi tumeona watu wanajitoa Chadema siku za karibuni na wote wamekua wanatoa sababu kubwa 3, moja kwamba walimuunga mkono Mheshimiwa F. A. Mbowe, mbili wanabaguliwa so wanaenda kusiko na ubaguzi na tatu wametukanwa/wanatukanwa.

Sisi kama wanajamii kwa kuweka kumbukumbu sawa na kutenda haki kuna haja ya kuorodhoresha waliotukanwa na matusi waliyotakanwa, tuweze kutendea haki justification zao. Kujitoa chama ulichokipigania ujana wako wote kwa nguvu na mali sio kitu kidogo so tuone matusi yanayoweza kufanya mtu mzee kama Kigaila akaacha chama yatakua ni makubwa na mapya kiasi gani ambayo hajawahi kutukanwa maisha yake yote aliyoishi ya nusu karne.

Mimi binafsi sijasikia wala kuona hayo matusi iwe kwenye maandishi, clips wala voice, wanayotukanwa hawa watanzania wenzetu. Kwa heshima na taadhima wanabodi mliosikia au kuona hebu wekeni hapa tuyaone katika aina yoyote ya media, sauti, picha, screenshot, video clips etc., tujiridhishe na kupima

Vinginevyo ibaki tu ni mkono wa kaka abdu.l unavua watu uchi na utu wao kama tulivyodokezwa hapo nyuma kwamba kuna uvunaji wa fweza toka kwa huyu kijana kusambaratisha hiki chama tishio kwa mama yetu.

For the benefit of doubts nawakilisha...
gentleman,
naona umetoa hoja ya kufariji walioumizwa na uamuzi huru na wa haki uliofanywa na wanachadema wa G55 kujiengua chadema.

In fact,
kuachwa ni shughuli pevu, mbaya zaidi kwa yule unaempenda, yeye ananenepa wewe unakonda kwa mawazo.
Inafikia hatua mpaka kila mtu hata watu wako wa karibu unawaona wote wabaya dah !

angalau huenda kuna relief moyoni na kisakolojia mnaweza kupata, but jamaa ndio hivyo tena wanatembea mbele 🐒
 
Back
Top Bottom