niwaulize tena hivi chek namba inaishia wapi?maana mfano mimi mwalimu nina chek namba nikaenda kuomba kazi kwa agency za serikali mfano tanesco,tra je bado chek namba itasoma kwa tanesco kwamba nimeshaajiriwa hii chek namba kwa serikali wapi haipo.
Ni kwamba ukiomba kazi kupitia tume ya ajira ukapata wao watakupa barua ya kuwa umepata kazi kwenye idara fulani ambayo ndo itakamilisha taratibu za ajira yako. Sasa wewe utaandika barua ukimuadress katibu mkuu utumishi kupitia kwa mwajiri wako, km ni ticha barua itapitia kwa mkuu shulu, afsa elimu then mkurugenzi uliomba kuhamisha taarifa zako binafsi kutoka huko kwenda mwajiri mpya. Barua ikiwa tayari km uko dar peleka mwenyewe utumishi kule mitaa ya feri then taarifa zako zitapelekwa kwa mwajiri mpya ukiendelea kutumia cheque namba ileile ya zamani.