Skillionare
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 1,190
- 528
walinisumbua hao maHR nikaamua kucanja kazi baada ya kupa ta kai katika taasisi nyingine nlipowaambia naondoka wakaanza ungesubiri tungekupangia wakati kila ukienda wanamajibu ya hovyo tu ushauri wewe tulia humo humo huku ukicheki deals nyingine za taaluma yako