Recategorization against current salary

Recategorization against current salary

Weakman

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2021
Posts
1,092
Reaction score
1,696
Wenye ufahamu tupeane maujuzi kwani waswahili husema Fikiri kabla ya kutenda

Mtumishi akishafanyiwa recategorization, kutoka utumishi wa idara moja kwenda nyingine, nini hatima ya daraja la mshahara alilonalo?
 
Sheria ya utumishi wa umma kwenye masuala ya recatergolization lazima uanze na mshahara wa cheo kipya,hiyo jiandae kisaikolojia bro,sasa kama cheo kipya kina mshahara mkubwa itakuwa vzr,hapo ni kama mtu utakuwa umeajiriwa mwanzo tu
 
Hii sheria ni Ngumu sana inasababisha wengi hata shule tusitake tena mfano mimi Daraja ninaloanza nalo kazi na nikienda kusoma tena ni daraja linalofata tu kitu ambacho kibongobongo hata kuwahi kusoma ni tatizo tena
 
Sheria ya utumishi wa umma kwenye masuala ya recatergolization lazima uanze na mshahara wa cheo kipya,hiyo jiandae kisaikolojia bro,sasa kama cheo kipya kina mshahara mkubwa itakuwa vzr,hapo ni kama mtu utakuwa umeajiriwa mwanzo tu
Na je, inachukua muda gani mpaka mchakato mzima kuweza kukamilika baada ya kuandika barua ya kuomba kufanyiwa recartegorization? I mean Unaweza kubadilishwa kada muda wowote na kuanza kazi? au ni mpaka mwaka mpya wa fedha uanze
 
Mambo ya waajiriwa sasa nasoma comments
 
Wakuu hv inachukua muda gani ,kubadilishiwa muundo na kupata mshahara mpya baada ya kutoka masomoni mfano mm ni mwalimu diploma natak kwenda kusoma degree ? Msaada hapo wakuu
 
Wakuu hv inachukua muda gani ,kubadilishiwa muundo na kupata mshahara mpya baada ya kutoka masomoni mfano mm ni mwalimu diploma natak kwenda kusoma degree ? Msaada hapo wakuu
Kwa Mwalimu wala haiwezi kuchukua muda mrefu, maliza chuo peleka cheti TSC wanabadili kwenye mfumo chap nadhani mwezi tu
 
Kwa Mwalimu wala haiwezi kuchukua muda mrefu, maliza chuo peleka cheti TSC wanabadili kwenye mfumo chap nadhani mwezi tu
na je mm mwalimu mwenye degree nataka nikasomee degree ya IT, itachukua muda sana kupata recategorization?
 
na je mm mwalimu mwenye degree nataka nikasomee degree ya IT, itachukua muda sana kupata recategorization?
Mpaka katibu mkuu atumiwe na HR, tatizo urasimu ila kama wako faster unahama, Mimi nasotea mwaka sasa
Kuna vipindi vya kufanya recate
 
Mpaka katibu mkuu atumiwe na HR, tatizo urasimu ila kama wako faster unahama, Mimi nasotea mwaka sasa
Kuna vipindi vya kufanya recate
sawa sawa, mm ndo nataka niandae ada taratibu, nikikamilisha tu miaka mitatu kazn naomba ruhusa ya kwenda masomoni. afu kuna mdau hapo juu kajibu eti nikienda kusomea IT hakuna ktu ntakua nmefanya, it mean mshahara wa IT (mfano IT wa halmashauri) ni sawa na mshahara wa mwalimu?
 
sawa sawa, mm ndo nataka niandae ada taratibu, nikikamilisha tu miaka mitatu kazn naomba ruhusa ya kwenda masomoni. afu kuna mdau hapo juu kajibu eti nikienda kusomea IT hakuna ktu ntakua nmefanya, it mean mshahara wa IT (mfano IT wa halmashauri) ni sawa na mshahara wa mwalimu?
HIYO ruhusa mupata tena Fani nyingine jiandae kisaikolojia haswaa
 
sawa sawa, mm ndo nataka niandae ada taratibu, nikikamilisha tu miaka mitatu kazn naomba ruhusa ya kwenda masomoni. afu kuna mdau hapo juu kajibu eti nikienda kusomea IT hakuna ktu ntakua nmefanya, it mean mshahara wa IT (mfano IT wa halmashauri) ni sawa na mshahara wa mwalimu?
IT anaanza na 1.1m wengine wakatisha tamaa, fanya kitu unachoamini
 
Kwa Mwalimu wala haiwezi kuchukua muda mrefu, maliza chuo peleka cheti TSC wanabadili kwenye mfumo chap nadhani mwezi tu
Siyo rahisi kama unavyodhani, hilo ni suala la kibajeti linahitaji muda
 
Back
Top Bottom