Rebels M23 urge Tanzania to scrap sending UN troops to DRC

Hapana hao rebels wanawaua ndugu zetu walioko mpakani mwa nchi yetu na congo waacha tuwaonyeshe. Isitoshe hao wanawake na watoto wanaobakwa kila siku wataokolewa na nani na lini ikiwa majirani tumekaa kimya kama hatuoni? Hadi wazungu waje kusaidia wakati waafrika wenzao tumekaa kimya wakati ndugu zetu wanateswa? Lazima ifike mwisho. Mie naunga mkono serikali kwenda kukomesha ujinga na unyama huu. Hao rebels wanajua Tanzania tunamaanisha na wanaogopa ndio maana wanaanza kujihami. Wao kama wanataka nchi hao wananchi wanaoteswa wamekosa nini? Isitoshe watamwongoza nani kama watauwa wananchi wote?? Bravo Tanzania We are with you all the way !!1
Viongozi wetu wanajikomba kwa Kabila ili wapate pakukimbilia 2015.
 
Mkuu una andika kiswahili fasaha sana, vile vile unajua kujieleza lakini baada ya kuangalia mambo fulani fulani nina wasi wasi kama kweli wewe ni Mtanzania mwenzetu!! Kuna viashiria fulani fulani ambavyo viko so obvious - I might be wrong lakini instinct zangu ni mara chache kuni-let down!!

Back 2 the point - tusije tukajidanganya kwamba Congo hisipokuwa shwali Tanzania itabaki salama - haiwezekani, Umoja wa mataifa na nchi za SADC haziwezi kuwa zimekurupuka bila ya kutafakali mambo kwa kina, wanajua fika tatizo liko wapi/wahusika wakuu wanao chochea mgogoro huu ni akina nani na ni njia hipi yakufanikisha kupata suluhisho la kudumu - miaka ishilini ya mapigano yasiyo na tija ni muda mrefu sana, dunia imekwisha choshwa na mgogoro huu, hakuna ambaye yuko interested na an open ended mazungumzo yanayo pendekezwa na M23 huku Wacongman wakiendelea kuteseka/kuuwawa na kuporwa mali zao za asili with impunity!!

Labda nikuhulize swali
- Wewe unajuaje uwezo wa JWTZ wa sasa hivi baada ya vita na Iddi Amini 20+ ago ingawa unaonyesha uliwahi kuwa mwanajeshi au jamaa yako, mkuu JWTZ liko imara 24/7 wala husije ukajidanganya kwamba wana silaha DUNI au hawajuhi walifanyalo, hakuna operation ambayo waliwahi kufanya/kushiriki in recent past wakashindwa, si hilo tu wanajua silaha karibu zote walizo nazo jirani zetu - nyingi zinapitia bandari ya DSM na Mombasa nichache zinazo safirishwa na Heavy lifters kama Antonov, in short hawana sababu yoyote ya kuwa intimidated na paper tigers maana naona wamekazana kweli kweli kwenye social networks karibu zote i.e facebook,tweeter, JF na magazetini wakijaribu KUTISHIA Viongozi wetu, Jeshi letu na la Africa Kusini lakini hawasemi chochote kuhusu jeshi la Malawi!!

Actually kinacho onekana DRC ni uendelezaji wa vurugu nchini humo kwa maslahi ya watu binafsi, wamepandikiza wanajeshi mamluki wanao jihita raia wa Congo kwa madhumuni ya kuvuruga Serikali/Jeshi la Congokwa kusingizia eti wanaonewa ili wapate kisingizio eventually cha Kuimega Congo iwe kama Sudan. Waliwahi kusema eti Congo ni nchi kubwa sana kwa nini isigawanywe sehemu mbili - interest yao hiko katika jimbo la Kivu na viunga vyake i.e mpakani kabisa na Rwanda! Watu wanazungumzia mambo ya madini tu wanasahau kwamba Rwanda ina kila sababu ya kutaka kujitanua/kumega sehemu hizo 4 a reason moja wapo ikiwa ni ku-deal na population explosion katika nchi yao; as long as bado wana ndoto ya kuigawa Congo (DRC) vita hatakwisha daima duni, ni kitu cha aibu baadhi ya nchi za kiafrica kutaka kuwa wakoloni wa nchi za waswahili wenzao - tusije tukajidangaya hapa kwamba ukosefu wa amani nchini DRC hautuhusu unatuhusu sana na ni tishio la Usalama wa Taifa letu.
Huu uandishi wako nina wasi wasi wewe siyo mtanzania hata kidogo au kama ni mtanzania umesoma shule za KATA!!
 
naifahamu drc japo kidogo kwani nilishawahi kufika lubumbashi,likasi,fungurume,tenke,kolwezi,kipushi na goma.juzi juzi kulikuwa na tishio la maimai kuanzisha vita,nilikuwa lubumbashi ilikuwa balaa mjini maduka yalifungwa mapema saa saba.wenyeji wanasema hao jamaa hawaingii risasi nikakumbuka vita ya majimaji miaka hiyo.
Kitu kikubwa nilichojifunza wacongo wanaogopa sana jeshi letu,na jeshi lao sio imara kwa hiyo hao m23 wanajaribu kujipendekeza kwetu na kujifanya hawataki kupambana na ndugu zao wa tz.kama wanajeshi wa drc ndo waishi vile je hao m23 wakuokoteza watakuaje?wale wanapewa msaada na rwanda na uganda na sijui kwanini hawa rwanda walikubaliwa wajiunge eac.
Tutakumbuka baada ya kukataa kuiachia goma tz ilitangaza kupeleka batalion 1 ya askari 800,kusikia hivyo rwanda na uganda wakawaita m23 kwenye kikao kampala kujifanya wanapatanisha,na mambo yakatulia wakaondoka goma na sim,tv,mafriji na magari ya wizi.wametumia vimeisha sasa wanarudi tena.
Wanajua kabisa tz haitakaa kimya tena lazima itaingia,ila ningeshauri serikali yetu kama itapeleka jeshi tuelewane tutapata nn tukiwatimua?angalia nfano wa kenya na somalia marekani waliwatanguliza kenya
 
Mkodoleaji, Bukyanagandi, Kobello,

..hii ngoma ni nzito kwa Rwanda na Uganda.

..mwaka 1999 SADC[Zimbabwe,Angola,Namibia] walipeleka majeshi DRC lakini hawakuwashirikisha UN, na zaidi hawakuwa na msimamo mmoja kuhusu mgogoro wa DRC.

..this time SADC wamewazidi maarifa kwa kuhakikisha wanakwenda DRC wakiwa na baraka za AU na UN.

..zaidi, Rwanda na Uganda ni signatory wa makubaliano ya kupeleka vikosi vya SADC/AU/UN huko DRC. Utiaji saini ulifanyika Addis Ababa na Kagame, Kikwete, Zuma, Ban Ki Moon,.. walihudhuria.

..sasa itakuwa kitu cha ajabu kwelikweli ikiwa Rwanda na Uganda wataanza kuvishambulia vikosi vya Tanzania, South Africa, na Malawi. Itakuwa ajabu kwasababu hivyo ni vikosi vya UMOJA WA MATAIFA.

..Rwanda wakiamua kushambulia vikosi vya Tanzania, watakuwa wameamua kuji-isolate kidiplomasia na kiuchumi, na zaidi viongozi wao will have punched their one way ticket to the HAGUE.

NB:

..up to now, naamini mahusiano ya Rwanda na Tanzania ni mazuri. hata majuzi askari wa Rwanda walitembelea Tanzania for a study tour.

cc: Jasusi, Ab-Titchaz, Kabaridi, Nguruvi3, EMT, Kiranga, BAKARI MBAGA
 
Last edited by a moderator:
Mkodoleaji, Bukyanagandi, Kobello,

..hii ngoma ni nzito kwa Rwanda na Uganda.

..mwaka 1999 SADC[Zimbabwe,Angola,Namibia] walipeleka majeshi DRC lakini hawakuwashirikisha UN, na zaidi hawakuwa na msimamo mmoja kuhusu mgogoro wa DRC.

..this time SADC wamewazidi maarifa kwa kuhakikisha wanakwenda DRC wakiwa na baraka za AU na UN.

..zaidi, Rwanda na Uganda ni signatory wa makubaliano ya kupeleka vikosi vya SADC/AU/UN huko DRC. Utiaji saini ulifanyika Addis Ababa na Kagame, Kikwete, Zuma, Ban Ki Moon,.. walihudhuria.

..sasa itakuwa kitu cha ajabu kwelikweli ikiwa Rwanda na Uganda wataanza kuvishambulia vikosi vya Tanzania, South Africa, na Malawi. Itakuwa ajabu kwasababu hivyo ni vikosi vya UMOJA WA MATAIFA.

..Rwanda wakiamua kushambulia vikosi vya Tanzania, watakuwa wameamua kuji-isolate kidiplomasia na kiuchumi, na zaidi viongozi wao will have punched their one way ticket to the HAGUE.

NB:

..up to now, naamini mahusiano ya Rwanda na Tanzania ni mazuri. hata majuzi askari wa Rwanda walitembelea Tanzania for a study tour.

cc: Jasusi, Ab-Titchaz, Kabaridi, Nguruvi3, EMT, Kiranga, BAKARI MBAGA
JokaKuu,

Kagame alishaseema kwa mahojiano ya moja kwa moja kuwa anataka kuondoka mamlakani na kuiacha rwanda ikiwa na amani alivyioijenga miaka hii yote. alisema hatapendelea kuharibu kazi hio ya miaka. hatuelewi kama ataisaliti na kuiuza taifa ya rwanda na kumpa mkoloni, pindi atapoondoka mamlakani.

Hivi sasa alivyoipokea serikali ya kenya, kenyatta, na amani ulioko DRC kwa majeshi ya UN, kurejea kwa somali kwenye EAC, ina maana utulivu wa kudumu utarejea tena kwenye kanda la EA. lakini sioni Uganda na M7, rwanda wakiondoka hapo DRC na yaonekana wanawania kuiweka laini nchi hiyo kutakapotokea misukosuko ya vijijini. Mkuu hakikisha guys play there cards right maana wakiteleza kidogo.....
 
Huu uandishi wako nina wasi wasi wewe siyo mtanzania hata kidogo au kama ni mtanzania umesoma shule za KATA!!
Majibu yako kisaikolojia yanaonyesha umeshikwa pabaya i.e you have been caught with your pants DOWN! Tell you what? Unaweza kusema chochote lakini ukweli ndio huo, kama shule za kata za Tanzania zinaweza kutoa raia wanao weza kuona mbali na kutoa analysis ya kina, basi JK na Taifa letu ni moto wa kuotea mbali - Goodluck.
 
Ngoja tuoni jinsi wanajeshi wetu wanavyoweza kupambana na wenzao maana kila siku tunasikia wameua raia wenzao..Lile Jeshi la Magaidi liitwalo Policcm likiongozwa na Kamanda Ahmed Msangi litangulizwe mstari wa mbele maana limekithiri kuua raia kwa risasi sasa kazi imepatikana peleka wakakamuliwe M..Vi na wanaume huko.

JWTZ wameshakamua mtu huko.
 
Je bunge letu limeafiki kupeleka kikosi chetu kupigana huko Congo? Wajue kuwa huko watakuwa wanapigana na jeshi la Kagame na sio hao mnaowaita M23; na jeshi la Rwanda sio la mchezo kwani mtabeba majezeza mpaka mkome!! Hizo fedha za U.N zitawatokea puani!!

M23 wameshabeba Majeneza sana.
 
Back
Top Bottom