Kwahio asitegemee maajabu?Unisoc T616, Equivalent ya Helio G80 na haina utofauti na Samsung A03.
Inategemea unaipata Bei gani mkuu, ila zipo simu za 280,000 zenye specs za Realme c35 mtaani.
Kama anaipata laki 3 kushuka si mbaya, ila kama anauziwa laki 4 kupanda haina thamani hio.Kwahio asitegemee maajabu?
Redmi note 11 mkuu, kama una uwezo chukulia kenya hio budget unapata 128GB version na change inabaki. Otherwise angalia Tigoshop.So chief kwa budget ya 500k simu gani nzur naweza kupata