Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,538
- 15,739
- Thread starter
- #29,501
Navas alibadilika sana game za mwisho mwisho, sijui tetesi ndio zilmwamsha ama alirudi tu kwenye kiwango chake by default!! sababu sio kwa save zile kwa kweli, ninadhan Perez na Zidane wataumiza sana kichwa litakapokuja suala la kwamba Navas asepe ama abaki!!?He has been a revelations since April. Has really found his old form again, was crucial for the title race!
Juventus [On Twitter]: Congratulations Real Madrid for winning LaLiga. See you in Cardiff! [HASHTAG]#UCLFinal[/HASHTAG]
Navas alibadilika sana game za mwisho mwisho, sijui tetesi ndio zilmwamsha ama alirudi tu kwenye kiwango chake by default!! sababu sio kwa save zile kwa kweli, ninadhan Perez na Zidane wataumiza sana kichwa litakapokuja suala la kwamba Navas asepe ama abaki!!?
Hope atakuwa kwenye kiwango hicho hicho dhidi ya Juventus!!
In less than 2 years. 18 months only in Madrid:
Laliga √
Champion League √
UEFA Super cup √
FIFA Club World Cup √
So far Navas anatufaa na Champion League final game ndio itakayofanya De Gea abaki huko huko. Kitakachomleta De Gea kwenye squad ni kwasababu ndio Golie wa National Team, lakini kwa mtazamo wangu Perez angemleta Gianluigi Donnarumma pale ili acheze na Navas. Lakini zote ni rumours tu, tusishangae next season team ikabaki hii hii.
De Gea anakuja, it's a political and financial move that makes sense in every sense of the word. Katika moja ya tafiti zilizofanyika karibuni, 1 kati ya Spanish wa-3 anasapoti Madrid, so it's only fair we have the strongest representation in the Spanish NT. De Gea ndio future captain baada ya Ramos, ambapo itaendelea trend ya manahodha wa timu ya taifa kutokea Madrid.
De Gea pia ni galactico signing, something that fits well with Madrid and Perez. Pia ana umri unaomruhusu kucheza hata the 15+ years akijitunza vyema.
Namkubali sana huyu mtu, ni genius wa mpira.ILA ZIDANE bhana tangu atue pale tunabeba makombe tuuuuuuuu hadi raha