Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Marca | "Varane says no to Mou"

Cn33v6AWgAAdDCf.jpg:large
 
Marca wanaboa sana brooo.
Live man, umeona walivoiendesha ishu ya Gomes wakataka watuaminishe kuwa jamaa anaenda madrid kwa 65ME lakini leo hii barca wanamchukua kwa 35ME, muda mwingine bora hata AS
 
Live man, umeona walivoiendesha ishu ya Gomes wakataka watuaminishe kuwa jamaa anaenda madrid kwa 65ME lakini leo hii barca wanamchukua kwa 35ME, muda mwingine bora hata AS
Daaaah nimeshangaa namimi asubuhi naoa taarifa kaenda barca,nafikiri wanafanya hvyo ili wauze sana
 
Daaaah nimeshangaa namimi asubuhi naoa taarifa kaenda barca,nafikiri wanafanya hvyo ili wauze sana
Kuna sehemu nilisoma wakasema madrid haiwezi kununua bila kuuza, nadhani walikua wanategemea sana kumuuza james lakini aliposema tu kuwa anataka kubaki ndio wameamua kushit
 
Live man, umeona walivoiendesha ishu ya Gomes wakataka watuaminishe kuwa jamaa anaenda madrid kwa 65ME lakini leo hii barca wanamchukua kwa 35ME, muda mwingine bora hata AS
Marca watakua wamepotosha kweny suala la Gomes kwenda Madrid, lakini ishu ya bei ni sawa, Valencia mara ya kwanza walikaza sana, Juve walibid pesa ndefu tu zaid ya hiyo aliyonunuliwa nayo Ila wakachomoa, sasa sijui imekuaje wakamwachia Kwahiyo €35 japokua inaweza kuongezeka mpaka €55.
 
Marca watakua wamepotosha kweny suala la Gomes kwenda Madrid, lakini ishu ya bei ni sawa, Valencia mara ya kwanza walikaza sana, Juve walibid pesa ndefu tu zaid ya hiyo aliyonunuliwa nayo Ila wakachomoa, sasa sijui imekuaje wakamwachia Kwahiyo €35 japokua inaweza kuongezeka mpaka €55.
Kwa upande wangu sikuona sababu kubwa ya Madrid kumchukua Gomes wakati kuna kroos/isco/modric na james ambao wana viwango kumzidi yeye, madrid wanachojitaji saiz ni backup ya casemiro na marcelo basi kikosi kilichopo kinatosha sana ku challenge for title.

Nimesikia na ile ishu ya Gabriel Jesus Gurdiollar kaingilia kati
 
Kwa upande wangu sikuona sababu kubwa ya Madrid kumchukua Gomes wakati kuna kroos/isco/modric na james ambao wana viwango kumzidi yeye, madrid wanachojitaji saiz ni backup ya casemiro na marcelo basi kikosi kilichopo kinatosha sana ku challenge for title.

Nimesikia na ile ishu ya Gabriel Jesus Gurdiollar kaingilia kati
Ni kweli Mkuu, kwa upande wangu ninaona kikosi kipo poa tu, backup ya Marcelo ndio bado hajapatikana, kwa upande wa Casemiro kuna taarifa nimeona hapo juu kuwa Marcos Llorente atakua msaidizi wake, kwa upande wangu hii imekaa poa pia, nilibahatika kuona baadhi ya game za Castilla msimu uliopita yupo vizuri sana!
Ishu ya Gabriel Jesus! ! sijui kama ataweza kwenda England, na sijui kama ana mpango huo pia! ! kwasasa possible destination ni Madrid! !
 
Marca wanaboa sana brooo.


Kuna sehemu nilisoma wakasema madrid haiwezi kununua bila kuuza, nadhani walikua wanategemea sana kumuuza james lakini aliposema tu kuwa anataka kubaki ndio wameamua kushit


MARCA ni news paper kama ilivyo kwa media nyingine, lakini most of the times issues kuhusu Real Madrid wanakuwa reliable sana. Kuhusu Varäne ni kweli Mou was ready to pay €50M for him kwasababu anamfaham lakini Real hawawezi kumuuza.

Vile vile huwezi kuwaita MARCA liars kwa issue ya Gomez. Ukweli ni kwamba Valencia always huwa wanapata kigugumizi linapokuja swala la kuwauzia mchezaji Real Madrid, mfano hai ni David Villa. The price tag was higher na masharti mengine kibao and Real Madrid decided to opt of this deal when Jose Angel Sanchez (CEO of Real Madrid) held a meeting with Zidane, reports suggests that Zidane decided to involve James & Isco more into his plans.

Also I can assure you guys one thing, Real Madrid don't even need André Gomes so much otherwise they could finish the deal a week ago. As we are overloaded with midfielders he'll get more playing time at Barca than at the Bernabéu.
 
Nimesikia na ile ishu ya Gabriel Jesus Gurdiollar kaingilia kati


Wataliano wamechemka, lakini sasa Guardiola analeta uchawi. Wanasema Perez yuko tayari kumsainisha kwa €30M, lakini hamuhitaji kwa msimu huu, ndio longo longo kama hizo utasikia watu wamemsainisha kwa milioni kumi tu, we subiri.
 

AS | "Valencia's proposal of money plus players & James' decision made Real Madrid back down."


Cn89xLDXYAEhU7c.jpg:large
 
Marca | "Real Madrid withdrew from Gomes' deal at the last minute due to James' desire to stay at the club."

Cn89ZkvWYAAlhKi.jpg:large
 
EXCLUSIVE FROM MARCA!

James: " I'll stay at Madrid and I will fight to earn my place in the XI. That's my dream , "

"I know that the club HAS RECEIVED AN 85 MILLION bid for me, but I'm not leaving"

13782173_1270732089618215_8158605622297934755_n.jpg
 
Nacho and James will not leave Real Madrid this summer. [Onda Cero]
 
Back
Top Bottom