Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid will be getting Inter's dressing room while Atlético will use Milan's. [@SquawkaNews]

13241403_1232330963458328_1671420775465923653_n.jpg
 
Real Madrid players will pocket a handsome €600,000 bonus if they win in Milan. They got €400,000 each after La Decima.

This bonus agreement has been decided by key players such as Ramos, Marcelo, Pepe and Cristiano with the president Florentino Perez. [MARCA]
 
Pele: "I prefer Real over Atletico because their play is more artistic, more open and less defensive."

"Playing well is important, I always prefer a 3-3 or a 5-5 over 0-0. It is not true that 0-0 is the perfect result."

13239468_1232306546794103_6805514728867008752_n.jpg
 
Naona Marcelo ndio kamuasili Ramos, baada ya Iker kuondoka. Halafu hawa wa-Brazil wetu mbona hawakai pamoja?


Marcelo yuko kwenye squad inakaribia miaka 10 sasa, Casemiro nae kaanzia Castilla, kwahiyo wameshajichanganya sana. Tofauti na mtu kama Kova, mwenyewe ameshasema uwepo wa Modric kwenye squad umemrahisishia mambo mengi.
 
Three Atlético players Real Madrid must stop to win UEFA Champions League:

1. Antoine Griezmann: He's Atleti's best player, simply put. Griezmann will be very dangerous in counterattack (see what he did to Bayern in the return leg) and both Pepe and Ramos need to keep him under control.

2. Koke: He's Atlético's key man in the midfield alongside Saul Ñíguez. Koke's ability to cross the ball on set pieces can be very dangerous and his physical presence and passing skills will also be a threat. Casemiro will be on the starting lineup and his work on Koke could be crucial during this game.

3. Godin: Careful with Godín on set pieces as well. He was the one who scored Atleti's opening goal in Lisbon and Ramos and Pepe must work together to stay with him whenever Atlético cross the ball on a corner-kick situation. [@LucasNavarreteM]
 
Simeone: "It's going to be a very tense, balanced game."

"Casemiro makes Madrid very dangerous on the counter-attack. If you give them space they're very dangerous."

13312856_1232475916777166_2604559206571986994_n.jpg
 
Borussia Dortmund striker Pierre-Emerick Aubameyang predicts a 3-2 win for Real Madrid tomorrow. The guy is trying so hard, but Perez doesn't spot him.

Cjd6RxwWEAA05Xn.jpg:large
Kijana anapenda sana na atafurahi sana siku akipata nafasi ya kuvaa uzi mweupe, ila kwasasa atulie huko Dortmund kwanza, Sababu kuja pale kwasasa ni kuja kuua kipaji chake, tuna talent za kutosha.. Hebu fikiria club inampango wa ku exercise buy out clause ya Morata ili aje auzwe kwa dau kubwa zaidi. Tunaelewa mapenzi aliyonayo kwa Madrid but huu sio muda wake.
 
Saa nyingine ninatamani hata hii game ingepigwa Leo tumalizane, mda mwingine Ninaona kama Kesho ni karibu sana..., #basi tu kwa homa ka mpambano!!


Baada ya game ya mwisho ya La Liga against Deportivo, Carvajal kaulizwa vipi kuhusu UCL final game. Jibu lake lilikuwa kama maneno yako, yaani waletwe hao Atleti hata sasa hivi. Jamaa ana usongo nao kinoma!
 
Back
Top Bottom