Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Hahahah

Punguza hasira mkuu, ukichek kwa makini maana yangu utaijua

Wewe umeshindwa kujua unachoandika Mimi nimekua Yesu nijue? Muwe mnafikiri hata kwa 1℅ ....jaribun kusumbua vichwa .... Usiandike ilimradi umeandika. Fuatilia maandishi yangu huko nyuma....sina kinyongo sina Chuki...nafaham Soka ni nini ndio maana ukaona watu wame cool hadi wana congrats .....utakua umenielewa
 
Wewe umeshindwa kujua unachoandika Mimi nimekua Yesu nijue? Muwe mnafikiri hata kwa 1℅ ....jaribun kusumbua vichwa .... Usiandike ilimradi umeandika. Fuatilia maandishi yangu huko nyuma....sina kinyongo sina Chuki...nafaham Soka ni nini ndio maana ukaona watu wame cool hadi wana congrats .....utakua umenielewa
Maana yangu there is something wrong, si jambo la kawaida kwa miaka minne mfululizo timu kama Real madrid inashindwa kuchukua ligi

Nme iweka leceister nika andika "based on leagues facts" sasa hapo huja elewa nn!!?, punguza kupanik
 
Eti based on leagues sasa wewe unajua kuna ligi ngapi duniani? Miaka minane kombe moja ? Hujui Kama kuna timu hazijawah kabisa kuchukua? Again muwe mnafikiri......yaan jaribu kusumbua kichwa chako....usikae lazy lazy .....
 
Eti based on leagues sasa wewe unajua kuna ligi ngapi duniani? Miaka minane kombe moja ? Hujui Kama kuna timu hazijawah kabisa kuchukua? Again muwe mnafikiri......yaan jaribu kusumbua kichwa chako....usikae lazy lazy .....
tatizo siyo kujua kuna ligi ngapi duniani, tatizo ni kwa nini tim hii haifanikiwi kushinda ligi yake ya ndani!!?

Real madrid siyo timu ya kufananisha na timu ambazo hazijawah kuchukua,

It is suppossed to be the best club, the smart club
Chukua time tathimini kauli zangu, alafu punguza jazaba mkuu

Katika miaka 8, la liga 1 ebu focus apo, ujue kuna shda
 
tatizo siyo kujua kuna ligi ngapi duniani, tatizo ni kwa nini tim hii haifanikiwi kushinda ligi yake ya ndani!!?

Real madrid siyo timu ya kufananisha na timu ambazo hazijawah kuchukua,

It is suppossed to be the best club, the smart club
Chukua time tathimini kauli zangu, alafu punguza jazaba mkuu

Katika miaka 8, la liga 1 ebu focus apo, ujue kuna shda

Kitu ambacho sijaelewa ni inakuaje unashangazwa na hilo jambo ..... Au unadhan Madrid wapo Sayar nyingine??? Yaan sijajua akili zako zina category Madrid upande UPI? Nadhani Una shida kidogo
 
Kitu ambacho sijaelewa ni inakuaje unashangazwa na hilo jambo ..... Au unadhan Madrid wapo Sayar nyingine??? Yaan sijajua akili zako zina category Madrid upande UPI? Nadhani Una shida kidogo
Duuh!! Kwa hyo we hushangzwi, timu yako inapo kuwa ina shika namba 2 au 3 kila msimu!!!

Na i categorize Madrid kama tim kubwa sana na naona ni humiliation kwa timu kama hyo kukaa misimu mi 4 bila ubingwa

Yet ana chukua Barca (na atletco mara 1)

Any way c wez kufikiri kama wewe na siwez kukulazimisha ufikiri kama mimi
 
Kitu ambacho sijaelewa ni inakuaje unashangazwa na hilo jambo ..... Au unadhan Madrid wapo Sayar nyingine??? Yaan sijajua akili zako zina category Madrid upande UPI? Nadhani Una shida kidogo
Achana nao hao wamezoea kejeli na matusi.

Kama walishindwa kukaa kimya kwenye uwanja wao kwa heshima ya legend wao, unategemea lipi?
 
Msimu huu tumekosa ubingwa kwa uzembe Sana, tulikuwa tunadroo mechi za kipuuzi Sana mwanzoni tukaja ku suffer mwishoni. Tunataka tittles, tunataka kusheherekea, tunataka Tuwe na furaha. Tumekosa ubingwa kwa tofauti ya point moja inauma Sana.
 
Hata hivyo usajili ufanyike wa maana atafutwe LB na striker wa maana wa kubadilishana na Karim. Sasa tufikirie Champions League!
 
Achana nao hao wamezoea kejeli na matusi.

Kama walishindwa kukaa kimya kwenye uwanja wao kwa heshima ya legend wao, unategemea lipi?
Mi sija toa kejeli ninkujitathimini tuu, sasa na hakuna baya nlo lisema zaid ya kusema, lazma kuna ttzo kwa tim kukaa mda mrefu bila ubingwa wa ligi
 
On this day in 2002...we won our ninth European Cup! Zidane scored arguably the greatest goal in the history of Champions league. #RMUCL

 
SergioRamos: "We want to win the UCL to make it an unforgettable year."

CicV9_0XIAEiwXD.jpg:large
 
Front page of Star Sport on James Rodriguez offered to MUFC on a British record fee of £60m.

Cidvio1WwAAoyb-.jpg:large
 
Back
Top Bottom