Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
- Thread starter
- #18,321
Cristiano Ronaldo's seasons scoring 50 goals or more:
- 2010/11: 53
- 2011/12: 60
- 2012/13: 55
- 2013/14: 51
- 2014/15: 61
- 2015/16: 50
Wala lisikuumize kichwa Mkuu... Bado game ni mbichi!! Cha muhimu ni sisi kuendelea kufanya yetu!!Jamaa washapata goli kule
Granada wamekaza so far bila uzembe wa yule beki nyuma ya Suarez ingekuwa bado hali teteWala lisikuumize kichwa Mkuu... Bado game ni mbichi!! Cha muhimu ni sisi kuendelea kufanya yetu!!
Ninaona Perez na yeye anaangalia matokeo!! Kazi kweli kweli....
So far we have put on a good fight regardless of today's results, kosa lilikuwa kumtoa Ancelloti na kumpa timu benitez maamuzi ya hovyo sana yale.Ni ujinga kusubiri mwingine afungwe ili uchukue ubingwa. Hii league tungeshaimaliza zamani, sema mihemko tu, ngoja niangalie game tu.
Mkuu kwani game ishaanza?Ni ujinga kusubiri mwingine afungwe ili uchukue ubingwa. Hii league tungeshaimaliza zamani, sema mihemko tu, ngoja niangalie game tu.
Mkuu wadau walipiga sana kelele kuhusu kumpa Benitez team... ila uhispania ndio ulimpa nafasi ya kuchukua team....,So far we have put on a good fight regardless of today's results, kosa lilikuwa kumtoa Ancelloti na kumpa timu benitez maamuzi ya hovyo sana yale.
Kaingia nakuanza kutetemeka akiwa ndan ya box....James kaingia badala ya cristiano
Ameumia ama ni precaution tu!James kaingia badala ya cristiano