Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,010
- 23,653
They are trying to cheat
How so?
They are trying to cheat
Proving incompetency while not. We are waiting them at BernabeuHow so?
Proving incompetency while not. We are waiting them at Bernabeu
sometimes najiuliza hivi kila kocha kunakuwa na wachezaji ambao wana wadislike ok i appreciate zidane lakini kuna ishu tukubali hayuko perfect compare issue ya james but hatuna lakufanya tutasikia tu kinachojili huko.Swala siyo nani akae nje. Ishu inakuja hata hapo juzi baada ya timu kumkosa CR7 uwanjani, Na benzema kuumia first half still room ya James haikupatikana. Hapa ndipo wadau tunajiuliza. kuna makosa gani, Kuna nini kinaendelea nyuma ya pazia.? kama ni statistics James ana statistics nzuri msimu huu kuliko waliokuwa katika kikosi na kupewa playtime kubwa.
hizi ndo stats za wachezaji ambao wanaonekana kucompete namba na James baada ya mechi ya Man city uingereza
LUKA MODRIC
minutes played : 2452
Matches played :40
Assist : 3
Goals : 3
ISCO
minutes played : 2466
Matches played :39
Assist : 10
Goals : 5
TONI KROOS
minutes played : 3426
Matches played :40
Assist : 7
Goals : 1
JAMES RODRIGUEZ
minutes played : 1628
Matches played :26
Assist : 9
Goals : 8
Na kwa msimu uliopita stats zake zilikuwa kama hivi
JAMES RODRIGUEZ
minutes played : 3619
Matches played : 46
Assist : 17
Goals : 17
Sasa kinachotushangaza mashabiki wa madrid ni kuwa, kwa mfano mechi kama ya wolfsburg mechi ambayo tulikuwa tunahitaji ushindi ama hata goli la ugenini. mtu ambaye huwa anaibeba timu Hayupo uwanjani, yet backup yake (Benzema) hayupo fit na katoka first half. Yet una unexperienced men wenye poor scoring record/Assist (Vasquez & Jesse) wanaongoza mashambulizi. Bado unaendelea kuwaacha on pitch pasipo kuwa na effect yoyote, na huku una mtu mwenye effect kama James kwenye bench.
Haitoshi unamuacha vasquez mpaka dakika ya 89, unamuingiza mtu ambaye angalau ana effect (ISCO) aingie kufanya maajabu. Is this how it was supposed to be.? Hata kama zidane ni legend, Ila katika hili naona amemisstep kidogo, Otherwise watuambie James ana matatizo mengine na si tatizo la ufit awapo uwanjani
kwangu ni habari mbaya sana bado tuna muhitaji jamesJorge Mendes in negotiations to transfer James Rodriguez from Real Madrid to Juventus [CDS]
sometimes najiuliza hivi kila kocha kunakuwa na wachezaji ambao wana wadislike ok i appreciate zidane lakini kuna ishu tukubali hayuko perfect compare issue ya james but hatuna lakufanya tutasikia tu kinachojili huko.
ok Guy i think this dude will continue for sometime,so we can say it is the end of james in bernabeau.Ukisema Zidane dislike James napingana na wewe. Mainstream medias always create dramas kwahiyo jiongeze mwenyewe. Zidane anawachezaji more than 2 dozens, na anachezesha timu kutokana na games zinavyohitaji. Sio siri James ni mchezaji mzuri lakini tangu season imeanza perfomance yake hairidhishi. Usinibishie, mimi naangalia game zote, kaja kwa Euro milioni 80 lakini sasa hivi sijui kama kuna mtu anaweza kumnunua kwa hiyo bei. Aache mambo ya kutafuta huruma kwenye magazeti. He's too emotional. Bench linamuhusu mchezaji yoyote yule, asijione superstar anatukera sasa hivi. Midfielders watatu wanacheza vizuri na timu inashinda sasa sijui Zidane afanye nini? Kuna wachezaji kama Varane wako hot na wanachoma mahindi lakini usikii kupiga kelele. Mi namuona anatuletea nuksi tu.
Ndugu! James ni mchezaji mzuri lakini anatakiwa kupiga kazi ambayo inaonekana kama Cr7,Bale,Marcelo na wengineo ila si kulalamika kama afanyavyo sasa hivi mbaya zaidi anaenda kwenye media. Mimi naamini akitulia na kusikilizia benchi kimya kimya huku akijituma vilivyo mazoezini na kwenye match apatapo nafasi, basi atakuwa sehemu ya 1st eleven.ok Guy i think this dude will continue for sometime,so we can say it is the end of james in bernabeau.
Luis Enrique kumbe alicheza Madrid kwa misimu mitano?
ok Guy i think this dude will continue for sometime,so we can say it is the end of james in bernabeau.