Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Swala siyo nani akae nje. Ishu inakuja hata hapo juzi baada ya timu kumkosa CR7 uwanjani, Na benzema kuumia first half still room ya James haikupatikana. Hapa ndipo wadau tunajiuliza. kuna makosa gani, Kuna nini kinaendelea nyuma ya pazia.? kama ni statistics James ana statistics nzuri msimu huu kuliko waliokuwa katika kikosi na kupewa playtime kubwa.

hizi ndo stats za wachezaji ambao wanaonekana kucompete namba na James baada ya mechi ya Man city uingereza

LUKA MODRIC
minutes played : 2452
Matches played :40
Assist : 3
Goals : 3

ISCO
minutes played : 2466
Matches played :39
Assist : 10
Goals : 5

TONI KROOS
minutes played : 3426
Matches played :40
Assist : 7
Goals : 1

JAMES RODRIGUEZ
minutes played : 1628
Matches played :26
Assist : 9
Goals : 8

Na kwa msimu uliopita stats zake zilikuwa kama hivi

JAMES RODRIGUEZ
minutes played : 3619
Matches played : 46
Assist : 17
Goals : 17


Sasa kinachotushangaza mashabiki wa madrid ni kuwa, kwa mfano mechi kama ya wolfsburg mechi ambayo tulikuwa tunahitaji ushindi ama hata goli la ugenini. mtu ambaye huwa anaibeba timu Hayupo uwanjani, yet backup yake (Benzema) hayupo fit na katoka first half. Yet una unexperienced men wenye poor scoring record/Assist (Vasquez & Jesse) wanaongoza mashambulizi. Bado unaendelea kuwaacha on pitch pasipo kuwa na effect yoyote, na huku una mtu mwenye effect kama James kwenye bench.

Haitoshi unamuacha vasquez mpaka dakika ya 89, unamuingiza mtu ambaye angalau ana effect (ISCO) aingie kufanya maajabu. Is this how it was supposed to be.? Hata kama zidane ni legend, Ila katika hili naona amemisstep kidogo, Otherwise watuambie James ana matatizo mengine na si tatizo la ufit awapo uwanjani
sometimes najiuliza hivi kila kocha kunakuwa na wachezaji ambao wana wadislike ok i appreciate zidane lakini kuna ishu tukubali hayuko perfect compare issue ya james but hatuna lakufanya tutasikia tu kinachojili huko.
 
sometimes najiuliza hivi kila kocha kunakuwa na wachezaji ambao wana wadislike ok i appreciate zidane lakini kuna ishu tukubali hayuko perfect compare issue ya james but hatuna lakufanya tutasikia tu kinachojili huko.


Ukisema Zidane dislike James napingana na wewe. Mainstream medias always create dramas kwahiyo jiongeze mwenyewe. Zidane anawachezaji more than 2 dozens, na anachezesha timu kutokana na games zinavyohitaji. Sio siri James ni mchezaji mzuri lakini tangu season imeanza perfomance yake hairidhishi. Usinibishie, mimi naangalia game zote, kaja kwa Euro milioni 80 lakini sasa hivi sijui kama kuna mtu anaweza kumnunua kwa hiyo bei. Aache mambo ya kutafuta huruma kwenye magazeti. He's too emotional. Bench linamuhusu mchezaji yoyote yule, asijione superstar anatukera sasa hivi. Midfielders watatu wanacheza vizuri na timu inashinda sasa sijui Zidane afanye nini? Kuna wachezaji kama Varane wako hot na wanachoma mahindi lakini usikii kupiga kelele. Mi namuona anatuletea nuksi tu.
 
Ukisema Zidane dislike James napingana na wewe. Mainstream medias always create dramas kwahiyo jiongeze mwenyewe. Zidane anawachezaji more than 2 dozens, na anachezesha timu kutokana na games zinavyohitaji. Sio siri James ni mchezaji mzuri lakini tangu season imeanza perfomance yake hairidhishi. Usinibishie, mimi naangalia game zote, kaja kwa Euro milioni 80 lakini sasa hivi sijui kama kuna mtu anaweza kumnunua kwa hiyo bei. Aache mambo ya kutafuta huruma kwenye magazeti. He's too emotional. Bench linamuhusu mchezaji yoyote yule, asijione superstar anatukera sasa hivi. Midfielders watatu wanacheza vizuri na timu inashinda sasa sijui Zidane afanye nini? Kuna wachezaji kama Varane wako hot na wanachoma mahindi lakini usikii kupiga kelele. Mi namuona anatuletea nuksi tu.
ok Guy i think this dude will continue for sometime,so we can say it is the end of james in bernabeau.
 
ok Guy i think this dude will continue for sometime,so we can say it is the end of james in bernabeau.
Ndugu! James ni mchezaji mzuri lakini anatakiwa kupiga kazi ambayo inaonekana kama Cr7,Bale,Marcelo na wengineo ila si kulalamika kama afanyavyo sasa hivi mbaya zaidi anaenda kwenye media. Mimi naamini akitulia na kusikilizia benchi kimya kimya huku akijituma vilivyo mazoezini na kwenye match apatapo nafasi, basi atakuwa sehemu ya 1st eleven.
Mtazamo wangu ni huo.
 
The Liga bosses back in the day. [@OldSchoolPanini]

ChXMBPnW4AAilMP.jpg:large
Luis Enrique kumbe alicheza Madrid kwa misimu mitano?
 
***** UEFA CHAMPIONS LEAGUE *****

Real Madrid Vs Manchester City
Date: 4th May - Wednesday
Time: 09:45 PM (East African Time)
Match Day: SEMI FINAL (SECOND-LEG)
Venue: Santiago Bernabeu

Real-Madrid-vs-Manchester-City.jpg
 
Cristiano Ronaldo gave an interview to the official UEFA media.

-"We know that we're facing a tough challenge, but anything's possible. If MCFC are in the semis its because they're an excellent team."

-"Knocking out PSG isn't easy to do, but Manchester City did it. They're a side with very few defects."

-[vs Wolfsburg]: "That was perhaps one of the most important games, a special night, we had to win by a 3-goal margin.It needed to be a perfect night and it was but not because of my goals for everything; the team played really well and Our fans played a really important role in us turning the tie around. It was a magical moment."

-"Winning UCL with Real Madrid was a very nice feeling, incredible, because the Champions is always a special competition."

-"I admired Zidane as a player & now as a coach too. With him we all feel more appreciated & we feel the affection he has for us."

-"We feel valued. We know Zidane is still in the adaptation process, but things seem to be flowing quickly and I'm very happy for him."

-"I admire Zidane for his way of being, and the way he handles the players. I would like him to continue as coach at Real Madrid."


ChYKZ7UWkAA12j5.jpg:large
 
- Zidane's Real Madrid have won 10 points in the last 10 minutes of matches, showing this team knows how to cope under
pressure.

- In the final minutes of games Real Madrid end like motorcycles, caging their rivals, and showing a superior physical level.

- Zidane has imposed his ideas and has created a side that's extremely competitive from the first minute until the last. [AS]
 
Back
Top Bottom