Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
- Thread starter
- #16,901
Juventus intrested in Isco. His said agent -"He would like to stay here next season".
Mtazamo wangu ubora wa timu unatokana na ubora wa safu ya ulinzi na jins gan wanaweza zuia kufungwa as team....kwa sababu unaweza kuwa na safu nzuri ya ushambuliaji ila ukawa na ulinzi mbovu matokeo yake unapokutana na timu yenye ulinzi mzuri inaweza kukitandika magoli machache na hiyo safu ya ushambuliaji nzuri isifurukute....ninawapa 100% atletico kupita dhidi ya bayern kwa sababu ya ubora wa safu ya ulinzi ya atletico.....hata simeon anajua kabisa kiburi chake kinatokana na ubora wa ulinzi siyo safu ya ushambuliaji....Wale jamaa bana wana game changers na consistent players wengi. Sio wepesi kiivyo.
Wakati team ipo chini ya Benitez Wachezaji wetu walikua hawajitumi kabisa, kasoro Bale Casemiro, Navas na Lucas., saa nyingine ninaona kama wachezaji ndio walimfukuzisha kazi jamaa., Ila sasa hiv kila mmoja anaonekana ana furahi na wana enjoy kucheza hata kama mtu yupo bench, akipewa nafasi anajitahid! !Cristiano Ronaldo has gone from 0 goals and 1 assist in eight games, to 9 goals and 2 assists in 8 games against similar opponents. [GOAL]
Danilo and Lucas are useless..The players that Zidane wants to keep at any cost:-
1.Keylor Navas.
2. Raphael Varane.
3. Pepe.
4. Sergio Ramos.
5. Danilo.
6. Casemiro.
7. Cristiano Ronaldo.
8. Toni Kroos.
9. Karim Benzema.
10. Luka Modric.
11. Gareth Bale.
12. Marcelo.
13. Jese Rodriguez.
14. Lucas Vazquez.
15. Daniel Carvajal.
[Source Fichajes.net]
Ni jambo jema sana kuwapumzisha, ingewezekana na Modric angepumzika, ili wawe fresh game inayofuata dhidi ya Villarreal.Zidane will rotate the squad against Getafe. Sergio Ramos and Casemiro will be rested. Danilo won't travel as he's suspended. [COPE]
Ni jambo jema sana kuwapumzisha, ingewezekana na Modric angepumzika, ili wawe fresh game inayofuata dhidi ya Villarreal.