PNC
JF-Expert Member
- Feb 3, 2015
- 8,105
- 14,356
Hii mijamaa ya panyalona imeshinda kwa kubebwa basi inakeleeeleee
Hii mijamaa ya panyalona imeshinda kwa kubebwa basi inakeleeeleee
HahahahaView attachment 335566anayependa kubebwa ni nani hapo
Cc: SalamanderNauliza swali! Mliomo humu ni wazungu au ni sisi black? Nashindwa kuerewa comments zinazotorewa humu, hazitolewi kwa lugha yetu ya kiswahili bali zinatolewa kwa lugha ya kigeni...je hao wazungu wanapokuwa katika nchi zao mfano uingereza tu huwa wanatumiana comments kwa lugha yetu? Au lugha nyingine tofauti na kingereza?? Nazani mnao-coments kwa lugha hii ya kigeni ni watu wachache msiokuwa na akiri ya kufikiri.
....mazingira uliyokulia au uliyomo ndio yanayo influence lugha ya mtu,regardless of your colour,kumbuka sio wote wanaotumia jf wako Tz,wengine wana miaka kibao uzunguni,sio kosa lao,so take it as it izy bob!Nauliza swali! Mliomo humu ni wazungu au ni sisi black? Nashindwa kuerewa comments zinazotorewa humu, hazitolewi kwa lugha yetu ya kiswahili bali zinatolewa kwa lugha ya kigeni...je hao wazungu wanapokuwa katika nchi zao mfano uingereza tu huwa wanatumiana comments kwa lugha yetu? Au lugha nyingine tofauti na kingereza?? Nazani mnao-coments kwa lugha hii ya kigeni ni watu wachache msiokuwa na akiri ya kufikiri.
Mbona 2014 hujataja? Acha unafiki wewe!....since 2005/06, Real Madrid imekuwa ikitolewa mfululizo kwenye game zote za mtoano,mara ya mwisho mlimtoa Bayern way back, 2002!!Kuanzia hapo;
2005/06- Arsenal waliwatoa.
2007/08-Roma waliwatoa.
2008/09-Liverpool waliwatoa.
2009/10-Lyon waliwatoa.
2010/11-Barca waliwatoa.
2011/12-Bayern waliwatoa.
2012/13-Dortmund waliwatoa.
2013/14- Juventus waliwatoa.
kwa rekodi hii,bora kujiliwaza tu,na mkitoka hapo salama, Barca next,hom and away!
Natofautiana na wewe bado Ronaldo anahitajika pale akiwa kama legendary. Jana tatizo ni umakini tu na kupanic kwa wachezaji. Ukiangalia tumekosa magoli matatu ya wazi ya Benzema,Ronaldo na Bale. Tuvumilie na kuwa na hamasa bado nafasi ipo kwetu.Real Madrid needs new blood and the club is aware. Cristiano Ronaldo is looking for a way out; most likely to PSG. [via @GuillemBalague]
Mkuu achana na hao jamaa, kidogo wanapoteza uwezo wa kufikiri inapotajwa Real Madrid., hawanaga kizuri chochote kwa Madrid, wamezaliwa hivyo, so wazoee.Mbona 2014 hujataja? Acha unafiki wewe!
..unajielewa?! au unasubiri goli la dkk ya 85!!Mbona 2014 hujataja? Acha unafiki wewe!
Natofautiana na wewe bado Ronaldo anahitajika pale akiwa kama legendary. Jana tatizo ni umakini tu na kupanic kwa wachezaji. Ukiangalia tumekosa magoli matatu ya wazi ya Benzema,Ronaldo na Bale. Tuvumilie na kuwa na hamasa bado nafasi ipo kwetu.
Ndio nini hiyo! Huna point..unajielewa?! au unasubiri goli la dkk ya 85!!
Acha ujuha wewe! Mara ya mwisho kuchukua kombe hili lin!? Umejisahaulisha tulivyomvuruga Bayern kwa agg 7 juzi juzi tu?....since 2005/06, Real Madrid imekuwa ikitolewa mfululizo kwenye game zote za mtoano,mara ya mwisho mlimtoa Bayern way back, 2002!!Kuanzia hapo;
2005/06- Arsenal waliwatoa.
2007/08-Roma waliwatoa.
2008/09-Liverpool waliwatoa.
2009/10-Lyon waliwatoa.
2010/11-Barca waliwatoa.
2011/12-Bayern waliwatoa.
2012/13-Dortmund waliwatoa.
2013/14- Juventus waliwatoa.
kwa rekodi hii,bora kujiliwaza tu,na mkitoka hapo salama, Barca next,hom and away!
Nikumbushe mwaka wa hyo agg 7;0 ili nipime nani juhaAcha ujuha wewe! Mara ya mwisho kuchukua kombe hili lin!? Umejisahaulisha tulivyomvuruga Bayern kwa agg 7 juzi juzi tu?
....sizungumzii habari ya kuchukua kombe,it's about turning a 2-0 down away, you and your fellow idiot,kusoma hamjui hata picha hamuelewi?!Acha ujuha wewe! Mara ya mwisho kuchukua kombe hili lin!? Umejisahaulisha tulivyomvuruga Bayern kwa agg 7 juzi juzi tu?
...soma post no. 16295,we kipofu wa akili!Ndio nini hiyo! Huna point
Ahahahahahahahaha wamepagawaaa!!!...soma post no. 16295,we kipofu wa akili!