Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

HALF TIME: Real Madrid 0-0 Roma (2-0). #RMUCL #HalaMadrid

CdDYF5OW8AAuBMr.jpg
 
Keylor is the reason we didn't concede. He goes out of the line soo fast. No wonder Salah and Dzeko couldn't find time to score. Lakini saa hizi tungekuwa tunaongea mengine.
 
Wakuu Leo Vp., kama bado vijana wetu hawasomani wakifika final 3rd ya Roma.., ila hii game imekua kama ile tuliyocheza na Celta, walidefend hivyo hivyo kipnd cha kwanza., hope kipnd cha pili watafunguka kutafuta goli..
 
Until now toni kroos haja lose mpira,,,, Isco over james ingetupa goli,,,, chances mbili alizopata dzeko na salah kama wangefunga story ingekja tofauti,,,, we are so lucky,,,, danilo na marcelo wachunge secnd half la sivyo tutatoka vichwa chini,,,,, Modrick na Bale wamuwekee mipira njiani Ronaldo halafu hatawaangusha,,,, ila tuongeze u siriaz tupate goli
 
I wouldn't mind a second half similar to the one we played against Celta de Vigo on Saturday.
 
Roma are looking dangerous on the counter; specially down the wings.
Wanatumia speed ya Salah., anampa Ramos wakati mgumu sana, 2nd half akiingia Verane itakua poa sana sababu na yeye ana speed pia..., so far James ndio hasomeki mle ndani.. ila wengine alijitahid kadri ya uwezo wao..
 
Real Madrid have failed to score in the first half for the third time in this UCL.

PSG away and the two matches vs Roma.

Lets get a Goal and get over this tie...
 
Modric sending Pjanic back to the battlefields of Yugoslavia!

 
Wanatumia speed ya Salah., anampa Ramos wakati mgumu sana, 2nd half akiingia Verane itakua poa sana sababu na yeye ana speed pia..., so far James ndio hasomeki mle ndani.. ila wengine alijitahid kadri ya uwezo wao..


Man, hapa ndio unaona umuhimu wa DM. Yaani bila Casemiro tungekuwa na wakati mgumu sana
 
Back
Top Bottom