Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
- Thread starter
- #13,921
Luka Modrić. Plays football the way it should be played. What a player.
Tumepaniki kidogo hawa jamaa tungewashinda endapo tungetulia kiasi
Ni kweli usemacho Cr7 hatutendei haki juu ya ubora wake dhidi ya service anayoioffer kwa timu. Lakini naona Kroos kafanya kazi nzuri sana iliyotendewa haki na James ikimaliziwa na Karim
Man hawa jamaa hawajashinda last ten games in all competition. Sevilla kapiga nje ndani kwenye Copa del Rey. Sisi tuko na kina Cristiano wanacheza mpira mbovu lakini untouchable, This team kills me man
Ni kweli usemacho Cr7 hatutendei haki juu ya ubora wake dhidi ya service anayoioffer kwa timu. Lakini naona Kroos kafanya kazi nzuri sana iliyotendewa haki na James ikimaliziwa na Karim
Yupo kibiashara tu sasa hivi lakini kiumuhimu hana kabisa.Huyu Cristiano hana faida yoyote kumambuzi huyu. Sijui kwanini hauzwi huyu. Anatuharibia game yetu tu huyu
Hii droo ni sawa na kufungwa tu.
Hii ni time ya kumleta Pogba acheze nyuma ya striker kama Lewndosk au Aubemeyang pale mbele. Ronaldo aanzie bench asiuzwe kwanza.
We should win this game, stupid. Perez bora alete strikers pale mbele, huyu Ronaldo doesn't do anything kumamae. Anakosa magoli wakati yuko kwenye target kabisa
Pole ndugu, tuipende tu kwa shida na rahaHii timu itanizimisha kwa pressure