Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Kipindi hiki cha kwanza naona james hayupo vzr..,yule kova amecheza vzr sana had sa hv
 
Ile katuni ambayo inaonyesha kipa na mabeki wakifanya mambo mengine tofaut nakujipanga wakat ronaldo anapiga free kick nafikir ina ukwel ndani yake....hahahahahhahaha
 
Huyu ronaldo anakosa magoli ya wazi kias kwamba hata akikwatuliwa kwel washabiki wanakuwa wanaona ana wazingua
 
Hahahahhahahahahahhahahahahahaha....huyu jamaa yetu uwezo umefika mwisho nafikir hata yeye ameanza kujua hilo..anatakiwa aandikiwe makala ndeefu kwenye majarida na magazeti kuwa ameshagonga ukingon
 
Things aren't going that well at the moment, but I have a feeling we'll finish with the biggest smile.
 
Hiki kikosi kinahitaji reformation ya haraka sana...kuna watu wamevaa jezi ambazo haitakiwi kuendelea kuwaamini...sa hv tunacheza kama taifa stars ya maximo...inazuia muda mwingi inafunga magoli ambayo ukiambiwa utoe maelezo goli limefungwa kwa mpango gani huna jibu...
 
Sometimes I wish I could jump ship man, why lie. But then I realize what's running through my veins es blanco, not roja, not negro. So as we always say. Hasta el Final. Siempre a Madridista, nada mas.
 
12310523_999817260089285_3026487533755121967_n.jpg
 
Am still going for Neymar kwenye ballon d'or he deserve it asee na trust me Piere huu ndo mwisho wa CR7 na Messi kudorminate kwenye hizo awards

Mchezaji bora wa 2014/2015 Messi atabeba bila shida. Ila hii ya 2015/2016 itakuwa ni shida kwa hawa Messi na Ronaldo, ubaya wa Fifa wanawaangalia hawa watu kibiashara zaidi, kuna misimu ya nyuma alinyimwa Xavi na Sneidjer.Ila Messi anaweza akabeba tena sababu bado umri upo na kiwango chake bado kipo vilevile.
 
Mchezaji bora wa 2014/2015 Messi atabeba bila shida. Ila hii ya 2015/2016 itakuwa ni shida kwa hawa Messi na Ronaldo, ubaya wa Fifa wanawaangalia hawa watu kibiashara zaidi, kuna misimu ya nyuma alinyimwa Xavi na Sneidjer.Ila Messi anaweza akabeba tena sababu bado umri upo na kiwango chake bado kipo vilevile.

Wakumpa andunje hiyo award hayupo ana kesi sa hivi...trust me award itaenda kwa Neymar hiyo january na ndo mwisho wa CR7 n Messi period
 
Wakumpa andunje hiyo award hayupo ana kesi sa hivi...trust me award itaenda kwa Neymar hiyo january na ndo mwisho wa CR7 n Messi period
Msimu uliopita Messi ndo ulikuwa msimu mzuri kwa Messi kuwahi kutokea. Lazima abebe hiyo taji.
 

First training session of the week as the players began to prepare for Wednesday's Copa del Rey clash with C?diz!

12274613_10150946515614953_1511326128427902276_n.jpg
 

Martin ?degaard will play in the upcoming Copa game against Cadiz. [tv2]

12294636_1108675409157218_5900194362701911152_n.jpg
 
Back
Top Bottom