Leo haonekani kabisa, ameunyuti .... .... ..... . . Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Aibuuu... Tena Bernabeu !!
Viva barca
Messii Messiiii Messiiiiii Messiiiiiii Messiiiiiiiiii!!!
karudi na makali mapyaWasiempenda karudi
Ni muda muafaka kwa CR7 kuondoka Madrid akapumzikie England, vinginevyo ataondoka kwa aibu kubwa zaidi!
jana kazomewa sana mshikaji, licha ya yote aliyoyafanya thamani yake imeshaanza kipotea taaratibu, akitaka astaafu kwa heshimu england asirudi maana heshima aliyojiwekea inamtosha bora aende marekani au uarabuni akachume pesa
Man u atarudi koh Koh
Yan baada ya kufungwa madrid tu jukwaa limejaa mamluki kibao kumbe na nyie huwa mnapenda tushinde daily eeh poleni kwa kuwaangusha jana ila msijali safari bado ndefu tutabounce back...Halla Madrid
namuonea huruma banitez, maana atletico akishinda leo anatupwa nafasi ya tatu na chuki ya mashabiki itakuwa kubwa sababu walio juu yao ni maadui wao wakubwa.