Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
- Thread starter
- #11,861
NAVAS IS LOVE
Am dying to see the possible line up ya leo
Umeona predicted lineup ya DiarioBernabeu hapo juu? Je unafikiria vipi kuhusu hi list?
[/QUOT
So far defence n mid nimeipenda ila CR7 as a striker hapo kachemka huyo jamaa ameishakuwa kilaza siku hizi angemweka winga km siku zote af mbele Benzema akasimama si walisema he's fit to play...af pia naona km wangeenda na formation ya 4-2-3-1 Rodriguez akasimama nyuma ya Benzema kwa mtazamo wangu lakini
Umeona predicted lineup ya DiarioBernabeu hapo juu? Je unafikiria vipi kuhusu hi list?
[/QUOT
So far defence n mid nimeipenda ila CR7 as a striker hapo kachemka huyo jamaa ameishakuwa kilaza siku hizi angemweka winga km siku zote af mbele Benzema akasimama si walisema he's fit to play...af pia naona km wangeenda na formation ya 4-2-3-1 Rodriguez akasimama nyuma ya Benzema kwa mtazamo wangu lakini
Calm down, hii siyo official ni prediction ya diarioBerbabeu, Benitez huwa hapendi kutaja lineup yake mpaka last minute kwahiyo tusubiri jioni.
Lakni ni kweli, kuna wataalamu wa soka waliongea kumsimamisha Cristiano kwenye box ndio chanzo cha game kufa pale mbele kwasababu anakosa enough space na mipira yote ikija inagongwa na mabeki kisha jamaa anapanic. Anatakiwa apewe nafasi ya kukimbia ndio labda tutaona mchezo tofauti. Lakini tusubiri Benitez sijui anafikiria vipi.
Calm down, hii siyo official ni prediction ya diarioBerbabeu, Benitez huwa hapendi kutaja lineup yake mpaka last minute kwahiyo tusubiri jioni.
Lakni ni kweli, kuna wataalamu wa soka waliongea kumsimamisha Cristiano kwenye box ndio chanzo cha game kufa pale mbele kwasababu anakosa enough space na mipira yote ikija inagongwa na mabeki kisha jamaa anapanic. Anatakiwa apewe nafasi ya kukimbia ndio labda tutaona mchezo tofauti. Lakini tusubiri Benitez sijui anafikiria vipi.
Cr7 anahtaj space hapo atacheza vzur
Cr7 anahtaj space hapo atacheza vzur
Mkuu umeona ulichoandika lakini CR7 atacheza vizuri akiwa winger coz huko ndo atapata space ila sio forward af ni mtu wa kupanic fasta sana yule
Benitez na safety first approach aliyonayo will spoil this classico-atajaza bodies katikati na kutupia lone striker, Bookmakers are not happy
Which side are you?