Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
- Thread starter
- #11,701
Breaking: Iscp picks up an injury, leaves Spain camp. Another injured player for Benitez
AS | Sergio Ramos would be sidelined for 6 to 8 weeks after his surgery (after El Cl?sico).If something happens in El Cl?sico he would be out much longer, and in the worst case his whole season would be over.
![]()
We can manage without Ramos. Only players we can't afford to lose ATM, are Modric, Kroos, James, Benzo, Casemiro, Keylor, Marcelo, Varane.
Kweli kabisa, nilikuwa nafikiria kulazimisha huyu jamaa acheze El Classico inaweza kutu-cost vilevile. Isco naye kaumia kwenye mazoezi ya timu yao ya taifa, lakini pengo lake halitaonekana.
Isco lately amekuwa chini ya kiwango chake. Nadhani anaweza kuwa fit before El Clasico tho. Germany na Croatia wametusaidia sana kutowaita Kroos na Modric.
View attachment 305327
Mario Baloteli "Barcelona is the only club to have two stadiums, Camp Nou for matches and Bernabeu for training".
Lete hilo kanusho.Acha uongo Balotelli alisha deny kusema hiyo kitu..go and do your homework
Just ignore the culo bruh. Craving for our attention, don't give it to them.Acha uongo Balotelli alisha deny kusema hiyo kitu..go and do your homework
Lete hilo kanusho.
Just ignore the culo bruh. Craving for our attention, don't give it to them.
Sawa Mkuu, nimekupata.[h=1]Balotelli denies Real Madrid joke, bonyeza hapa: http://gazzettaworld.gazzetta.it/off-the-ball/balotelli-real-madrid-joke/?refresh_ce-cp[/h]