Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
- Thread starter
- #8,561
Latest English reports suggest that Liverpool are ready to offer €21m for Real's Asier Illaramendi.
Chalii kavuta jiko kabisa...Hongera yake sana
Marca | Liverpool have offered Real 22m for Illaramendi.
- If Benitez gives the Green Light, Real will sell him.
Tempting, but better pass.
Ningekuwa Perez, 22m I could sell Illaramendi on the spot.
Hahaha najua humkubali kinoma Illarra, but 22m is ridiculous compared to what we paid to get him, + I still think he has something to offer.
Hahaha najua humkubali kinoma Illarra, but 22m is ridiculous compared to what we paid to get him, + I still think he has something to offer.
Tena sio yeye tu, na Jesé vilevile anatakiwa apeleke mbio zake Italy. Nimeona jana eti anajifanya kaanza mazoezi individual, kasahau kwamba alikuwa analia atolewe kwa mkopo.
Haha mi pale aondoke Arbeloa tu, hao wengine Sina noma nao.
Man mi nilipata hasira na hawa watu ile away game vs Bilbao. Walikuwa wanahitajika sana siku ile. Siku ile ndio wangeonyesha umuhimu wao wa kuwa kwenye squad, lakini ndio wakawa the reason we lost the game...Lakini hadithi iliyokuwepo sasa eti wabaki ili waonyeshe uwezo wao. Man, not this season. Tumejeruhiwa man, huu sio msimu wa kujaribu watu man.
Hahaha I feel your pain bro, ila chill. Hao game zao zitakuwa Copa del Rey kule, besides, Carlo pia alikuwa sababu ya wao kutocheza vizuri. We'll be alright.
AS (21-06-2015)
"Cristiano is upset"
![]()