Ndani ya dakika 180 pep timu yake imefunga goli 1 na kuruhusu 5. Baba wa watu Kapigwa nje ndani na mtoto wa juzi.
Maisha yanaenda kasi sana, Leo hii Mzee wa modern Football nae kapitwa na wakati.
Alimnyasasa sana Zidane, sasa kakutana na damu changa atatubu.