Noma sana man, sijui alimchungulia aje, wale vijana wa Arbeloa wanajituma hatari, ni kwamba wanataka nafasi ama ni kawaida? Maana kila mahali uwanjani walikuwepo.
Mwanangu umeona eee...aisee hawa vijana aliopanda nao wanajitahidi kwa kwel,kama yule dogo mwingine tena wa juzi (Manuel Angel) wanajituma kinyama,hawa wakiendelea kuaminiwa watakuwa hazina kubwa sana.