Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Noma sana man, sijui alimchungulia aje, wale vijana wa Arbeloa wanajituma hatari, ni kwamba wanataka nafasi ama ni kawaida? Maana kila mahali uwanjani walikuwepo.
Mwanangu umeona eee...aisee hawa vijana aliopanda nao wanajitahidi kwa kwel,kama yule dogo mwingine tena wa juzi (Manuel Angel) wanajituma kinyama,hawa wakiendelea kuaminiwa watakuwa hazina kubwa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…