Well, I'm happy for Mourinho and Benfica. This RM is shite. Hamna timu hapa. Hiyo knockout yenyewe wanapigwa na kuaga mashindano. Kunahitaji changes kubwa sana kubadilisha hii timu.
Wale mids wote sio level ya Madrid. Mbele ni mbappe tu japo nae kacheza utumbo tu Leo. Defense ndo hamna kitu kabisa ule Dean tumepigwa. Asencio ilikua nguvu ya soda tu. Alaba kaisha. Timu nzima inahitaji overhaul.
RM anakutana na Benfica tena in the playoffs. I can bet a mortgage Benfica anashinda tena. Hii RM ni mbovu mno. Timu yenye mids za Tchou na Cama haiwezi kutoboa. Hamna creativity in the midfield hata kidogo. Players wote wana underperform.
RM anakutana na Benfica tena in the playoffs. I can bet a mortgage Benfica anashinda tena. Hii RM ni mbovu mno. Timu yenye mids za Tchou na Cama haiwezi kutoboa. Hamna creativity in the midfield hata kidogo. Players wote wana underperform.
RM anakutana na Benfica tena in the playoffs. I can bet a mortgage Benfica anashinda tena. Hii RM ni mbovu mno. Timu yenye mids za Tchou na Cama haiwezi kutoboa. Hamna creativity in the midfield hata kidogo. Players wote wana underperform.
Jose Mourinho ni tactician, ashajua tayari afanye nini. Lakini football ni nyoko, every game is different, ndio utamu wake unakuwaga hapo.
Hii timu beat Barcelona na wako vizuri sana msimu huu, let's wait and see
Hii team sijui imekuwaje, hakuna consistency, kila mtu anacheza kivyake, Vini Jr na yeye ni kama hajielewi, maana anataka kufanya jambo lile lile aliloshindwa muda wote!!
Daaah, angalau kiukweli!! Ni kweli tulicheza vibaya, ila hatukustahili hata droo na hawa jamaa, maana dakika za mwisho vijana walijaribu kila walichoweza, na mwishowe wamefanikiwa!!