Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Kwa kikosi chetu hiki tutafukuza makocha sana,kwa sababu yakuwa na wachezaji wengi average na hawajitumi,ukichangia na majeruhi ya wachezaji kwenye maeneo muhimu..hii timu haijabalance...kimsingi tunacheza nakushinda kwa kutumia jina kuliko uwezo wa timu na mchezaji mmoja mmoja..
 
Umekuwa mkweli kupitiliza.
 
Real Madrid Mmemchafulia C.V yake nzuri X.Alonso aliyoanza kuitengeneza akiwa Bayern 04 Leverkusen
Real Madrid inaweza kuelekea ilipo Man United kama itashindwa kuhakikisha wachezaji wake wanakuwa na nidhamu, jana baada ya wachezaji wote kumdharau kocha na kumsikiliza Mbappè nilitegemea Alonso atabwaga manyanga.

Kizazi cha sasa cha soka kina vipaji ambavyo vitamalizwa na kiburi, wachezaji wengi hawatafikia rekodi za akina CR7 na Messi kwasababu ya kiburi.


 
Once again, Mbappe anaonyesha vile alivyo sumu hatari ndani ya dressing room.

Real Madrid mnahitaji kocha mkali, anaeweza kucontrol dressing room na kucrush egos za hao vijana wenu. Bahati mbaya, siwaoni hao makocha kwa sasa, labda kama mtaweza kumtoa Klopp kwenye ustaafu wake. Huyu Abeloa sioni akirudi msimu ujao!

Ile trio ya Vini, Bellingham na Mbappe, ni egos tupu with zero discpline. Madogo wanaamini tayari wapo on top of the world. Mnayo kazi kubwa sana kuwarudisha kwenye uhalisia.

Otherwise, tukutane next Classico, unikabidhi ubingwa wa ligi ndugu mtani.
 
Real Madrid haiwezi kufika alipo Man United, never ever
 
***** pesa za kununua marefa zilienda kujenga uwanja

mmeshinda uefa tano za uwongo

Kima nyie😤😤
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…