Khanji kapoor
JF-Expert Member
- Oct 19, 2024
- 3,368
- 8,407
Unamatitizo ya akili sio bure🤣🤣🤣🤣🤣🤣Yamefukuza kocha. Hamna timu nyie hata aje nani.
Nawachukia sana yaani akitoka shetani na ccm mnafata nyie kwa kuwachukia kenge wakubwa nyie
Perez afanye yake Alonso time's up. Sio level ya Madrid huyu.
Umekuwa mkweli kupitiliza.Kwa kikosi chetu hiki tutafukuza makocha sana,kwa sababu yakuwa na wachezaji wengi average na hawajitumi,ukichangia na majeruhi ya wachezaji kwenye maeneo muhimu..hii timu haijabalance...kimsingi tunacheza nakushinda kwa kutumia jina kuliko uwezo wa timu na mchezaji mmoja mmoja..
Real Madrid Mmemchafulia C.V yake nzuri X.Alonso aliyoanza kuitengeneza akiwa Bayern 04 LeverkusenUnamatitizo ya akili sio bure
Real Madrid Mmemchafulia C.V yake nzuri X.Alonso aliyoanza kuitengeneza akiwa Bayern 04 Leverkusen
Once again, Mbappe anaonyesha vile alivyo sumu hatari ndani ya dressing room.Real Madrid inaweza kuelekea ilipo Man United kama itashindwa kuhakikisha wachezaji wake wanakuwa na nidhamu, jana baada ya wachezaji wote kumdharau kocha na kumsikiliza Mbappè nilitegemea Alonso atabwaga manyanga.
Kizazi cha sasa cha soka kina vipaji ambavyo vitamalizwa na kiburi, wachezaji wengi hawatafikia rekodi za akina CR7 na Messi kwasababu ya kiburi.
🤣🤣🤣Ndio unajua leo? Pole.Unamatitizo ya akili sio bure
Real Madrid haiwezi kufika alipo Man United, never everReal Madrid inaweza kuelekea ilipo Man United kama itashindwa kuhakikisha wachezaji wake wanakuwa na nidhamu, jana baada ya wachezaji wote kumdharau kocha na kumsikiliza Mbappè nilitegemea Alonso atabwaga manyanga.
Kizazi cha sasa cha soka kina vipaji ambavyo vitamalizwa na kiburi, wachezaji wengi hawatafikia rekodi za akina CR7 na Messi kwasababu ya kiburi.
Angalia matokeo ya leoReal Madrid haiwezi kufika alipo Man United, never ever
Mawenzi Market ya Mrogoro.My wetu umeona bora utukimbie kabisa.
Umeenda kugawa utamu kwa watoto umeona ukitupa sisi tutafaidi.
***** pesa za kununua marefa zilienda kujenga uwanja
mmeshinda uefa tano za uwongo
Kima nyie😤😤