Hii team inahitaji kiungo mshambuliaji wa ukweli, kuna tetesi kwamba Nico Paz atarudishwa msimu ujao, kama itakuwa hivyo sio mbaya, maana yule Mtoto anajua, japokuwa ningependa kuona Guler anacheza zaidi juu, ila ndio hivyo Alonso ameamua kumchezesha chini zaidi.
.