Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Kunguni wakubwa nyie. Na bado leo ilikuwa trailer tu.
Nawachukia sana akitoka CCM na Mapolisi mnafata nyie kwa kuwachukia.
 
Hii team inahitaji kiungo mshambuliaji wa ukweli, kuna tetesi kwamba Nico Paz atarudishwa msimu ujao, kama itakuwa hivyo sio mbaya, maana yule Mtoto anajua, japokuwa ningependa kuona Guler anacheza zaidi juu, ila ndio hivyo Alonso ameamua kumchezesha chini zaidi.
.
 
Real madrid leo ni siku mbaya kwetu, Tayar tumesharuhusu Barca kushikilia usukani
 
Hii inavyocheza aisee, mpka ninakata tamaa, inabidi tuende kibahati bahati hivi mpka mwisho wa msimu hatuna namna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…