Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

huyo jamaa ni uchochoro, utafika muda tutongea lugha moja tu
Kuhusu kuwa uchochoro hilo linafahamika na Alonso pamoja na bench lake wanalijua hilo ndiyomaana jukumu kubwa alilopewa ni kuongeza idadi ya namba wakati wa kushambulia.
 
Kuhusu kuwa uchochoro hilo linafahamika na Alonso pamoja na bench lake wanalijua hilo ndiyomaana jukumu kubwa alilopewa ni kuongeza idadi ya namba wakati wa kushambulia.

kama munalijua na mumeridhika nalo musije kuanza kulalamika siku za mbeleni
 
kama munalijua na mumeridhika nalo musije kuanza kulalamika siku za mbeleni
Binafsi Trent namjua tangu akiwa liverkuku kuwa udhaifu wake mkubwa upo kwenye kuzuia, hili halina shida kwa upande wangu.
 
Tunawasubiri kwenye laliga
Naimani msimu ujao kutakuwa na burudani ya kutosha, wakati huo Yamal atakuwa na mzigo mzito wa kuonyesha kuwa anastahili kuvaa namba 10.

Sisemi vibaya ila asipokuwa makini naliona anguko lake kama la Ansu Fati.
 
Hii timu bado sana kumanina walah,haiwezi hata kupush mpinzani,timu kila mtu ni father hapo ndani kumanina...leo kama hatujapigwa 8 sijui..🤬🤬🤬
 
Shukeni haraka sana kwenye huu mtumbwi wa kibwengo mliodandia kimakosa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…