Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

kwanini umlinganishe na Lucas na sio Carvajal au Valverde ambao ndio starters wetu? lucas ni mchezaji wa dharura, au huyo anorld anakuja kukaa bench?
Carvajal ni majeruhi haijulikani akipona atarudi kwenye kiwango chake kwa muda gani?

Vervede ni wa dharula kama ilivyo kwa lucas, ila dharula zao zinatofautiana

Vervede anahitajika eneo la kiungo ila alirudi nyuma kutokana majeraha ya carvajal na vasquez.

Vasquez mbele alishapoteza namba kitambo, akarudishwa nyuma ambako madrid imekua ikisua sua kwa kua haikua na backup ya carvajal.

So ikiwa Vervede anaweza kucheza kiungo na nafasi yake ipo, ulitaka nimlimganishe nani mwingine kama sio vasquez ambae hakuna nafasi ingine anayoweza kucheza kwa sasa zaidi ya beki mbili!!
 
Mpaka sasa kuelekea mapunziko ni Mbappe, Diaz, Garcia, modric ndio wamecheza vizuri.

Canavinga ndio kaongoza kuharibu akifuatiwa na ndugu yake Vasques kisha Rudiger.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…