Raj kapool
JF-Expert Member
- Jun 29, 2018
- 1,558
- 2,603
Nyie vibonde wa Arsenal……mjiandae huko laliga !Uefa huku mmeingia cha kike mnashonwa tu
Naomba kujua Jinsia yako tafadhariNyie vibonde wa Arsenal……mjiandae huko laliga !Uefa huku mmeingia cha kike mnashonwa tu
Jinsia sio mpira,nyie subirien Gunners wawatoe makamasi next week,! Tutakuwepo.Naomba kujua Jinsia yako tafadhari
Jinsia sio mpira ila inahusika kuaamua michakato ya mpira,Jinsia sio mpira,nyie subirien Gunners wawatoe makamasi next week,! Tutakuwepo.
Fabrizio Romano huwa habahatishi kwenye taarifa zake ila ngoja tusubiri.Tret Alex Anold anamwaga wino,, msimu ujao anaweza kua mbavu yetu ya kulia kama mambo yataenda sawia
Naam aliniacha hoi kwenye ileFabrizio Romano huwa habahatishi kwenye taarifa zake ila ngoja tusubiri.
Jamaa anajitahidi sana na akitoa taarifa basi kwa asilimia kubwa inakuwa na ukweli, Vasquez muda wake wa kupumzika unawadia.Naam aliniacha hoi kwenye ile
ya vin kukosa ballon d or, nilikua siamini ila siku hiyo niliamini aise.
Alex akitua vasquez akatafute kazi za kufanya sasa
Naam naona katoa taarifa yena ya kuhusu yule no 6 wa Real sociadad na yule dogo beki wa Bournemouth.Jamaa anajitahidi sana na akitoa taarifa basi kwa asilimia kubwa inakuwa na ukweli, Vasquez muda wake wa kupumzika unawadia.
Huyo wa bournemouth chelsea wanamtaka pia.Naam naona katoa taarifa yena ya kuhusu yule no 6 wa Real sociadad na yule dogo beki wa Bournemouth.
Real wakiwasajili na hawa madogo wawili basi timu itakua nzuri sana aisee
Mwenyewe amesema ndoto yake ni kutua madrid, pia madri kwa sasa wana wachezaji wachache sana raia wa Hispania, ukimtoa carvajal majeruhi, lucas vasquez mchomaji, Ceballos majeraha na Acensio kitasa, hakuna tena mhisapania alie penya.Huyo wa bournemouth chelsea wanamtaka pia.
Mental health is realMadem zenu wanabakwa huko
Uzuri ni kwamba mchezaji hushawishika hata bila kushawishiwa na mtu kuchezea RM na ndiyomaana huwa tunafanikiwa kupata wachezaji wanaokuwa na uchungu na club sababu ya mapenzi waliyonayo hata kabla ya kujiunga na club.Mwenyewe amesema ndoto yake ni kutua madrid, pia madri kwa sasa wana wachezaji wachache sana raia wa Hispania, ukimtoa carvajal majeruhi, lucas vasquez mchomaji, Ceballos majeraha na Acensio kitasa, hakuna tena mhisapania alie penya.
So Inasemeka sera ya perez kwa sasa ni kuongeza wachezaji vujana hasa toka Spain pale pale.
Ko hili linaweza kua chaguo sahihi kwa madrid sidhani kama watashindwa kukomalia
Kweli kabisaUzuri ni kwamba mchezaji hushawishika hata bila kushawishiwa na mtu kuchezea RM na ndiyomaana huwa tunafanikiwa kupata wachezaji wanaokuwa na uchungu na club sababu ya mapenzi waliyonayo hata kabla ya kujiunga na club.
Natumai na haya madili yanayoongelewa yatafanikiwa.
Tret Alex Anold anamwaga wino,, msimu ujao anaweza kua mbavu yetu ya kulia kama mambo yataenda sawia
Kwa upande wa kuzuia ni kwel chujio ila sio sawa na lucas vasquez.HUYO JAMAA NI CHUNGIO. Jamaa ni mweupe sana
Kwa upande wa kuzuia ni kwel chujio ila sio sawa na lucas vasquez.