Raj kapool
JF-Expert Member
- Jun 29, 2018
- 1,614
- 2,732
Angemjarubu Guller labdaRodrygo ni mzuri kucheza hapo zaidi ya Brahim, acha tuone kama watakuwa wanapokezana, ila kwa aina ya team kama Atletico, tunahitaji watu wenye akili nyingi sana hapo kati.
Modric hawezi tena mikiki mikiki, so option aliyobaki nayo Mwl ni hiyo tu.
Angemjarubu Guller labda
Mbappe kafichwa sana leo, kwa hii defense ya atleticoKuna matumaini kweli ya kupata goli tena
Kwahiyo ngoma nzito hakuna dalili ya kupata goli tena?Mbappe kafichwa sana leo, kwa hii defense ya atletico
Hajafichwa ila amejificha, ni kweli hatuna kiungo wa kuwachezesha foward wetu, ila sasa ajiongeze,Mbappe kafichwa sana leo, kwa hii defense ya atletico
Sio mechi ya majaribio ila mbona kocha kafanya majaribio kumuweka diaz hiyo nafasi.hii sio mechi ya majaribio
Mzee wetu huwa anakariri sana, hujui kumpa mchezaji nafasi ajaribu, atahangaika na mchezaji mmoja wakati ana mbadala kibao, halafu sasa hata akimpa nafasi Güler anataka acheze pembeni na sio kati kati.Angemjarubu Guller labda
Hata game dhidi ya Betis alipotea hivyo hivyo., kiukweli with Brahim kwenye mid tuna kazi ya ziada.,Sio mechi ya majaribio ila mbona kocha kafanya majaribio kumuweka diaz hiyo nafasi.
Umeona alichokicheza Diaz hapo katikati?
Anapoteza mipira hovyo na hajui hata kufanya making kila muda hayupo eneo sahihi
Ni vurugu tupu angècheza guller añgefanya zaidi ya vile
Mbona mkuu Diaz kajitahidi kucheza vizuri tu kwa nafasi yake, waliotuangusha leo ni cama na Tchouameni wameshindwa kulink vizuri na defence, Kuna mda unaona valverde kabisa anapambana mpk anazidiwa no backupSio mechi ya majaribio ila mbona kocha kafanya majaribio kumuweka diaz hiyo nafasi.
Umeona alichokicheza Diaz hapo katikati?
Anapoteza mipira hovyo na hajui hata kufanya making kila muda hayupo eneo sahihi
Ni vurugu tupu angècheza guller añgefanya vizuri zaidi ya vile maana ile ndio nafasi yake sahihi
Eneo lile halihitaji mtu mwenye mapepe linahitaji mafundi fundi, kama hujui kulainisha mpira basi ujue kumsoma mpinzani na kukaa kwenye njia ili kutegua mitego.Hata game dhidi ya Betis alipotea hivyo hivyo., kiukweli with Brahim kwenye mid tuna kazi ya ziada.,
Hapana cama na tchou wameponzwa na alie juu yao.Mbona mkuu Diaz kajitahidi kucheza vizuri tu kwa nafasi yake, waliotuangusha leo ni cama na Tchouameni wameshindwa kulink vizuri na defence, Kuna mda unaona valverde kabisa anapambana mpk anazidiwa no backup
Valverde ametuokoa mara mbili, anajitahidi sana, halafu nindhani ingekuwa poa tukahamishia jiko upande wa Rodrygo, ule upande wa Vini hakuna kitu, Rodrygo na Co wafanye kupika Vini na mwenzie wabaki kutafuta nafasi tu za kufunga,Mbona mkuu Diaz kajitahidi kucheza vizuri tu kwa nafasi yake, waliotuangusha leo ni cama na Tchouameni wameshindwa kulink vizuri na defence, Kuna mda unaona valverde kabisa anapambana mpk anazidiwa no backup
Hawezi kuoffer zaidi ya hapo, na kupita hizi backline za atletico inahitaji kiungo mbunifu otherwise tuendelee kutegemea counter attack tu.Hapana cama na tchou wameponzwa na alie juu yao.
Diaz kacheza vizuri ila sio kwa nafasi aliyoicheza.
Hivyo alivochexa ilitakiwa acheze forward kule sio eneo la kati
Kiufupi kafanya kazi nje ya misingi yake.
Ko hata ufanye vizuri vipi lazima utaangusha tu watu.
Hata tukipoteza hii game kwa tofauti ýa goli moja bado nina imani tutatoboa.Hawezi kuoffer zaidi ya hapo, na kupita hizi backline za atletico inahitaji kiungo mbunifu otherwise tuendelee kutegemea counter attack tu.