Bellingham amempidha Arda Güler, ni matumaini yangu ni mabadiliko ya kawaida tu na sio majeraha, kwasababu kiukweli majeruhi yametuandama kweli kweli.,
Ninaombea tuendelee kuokoteza point hivi hivi wakati huu Barcelona anapoteza game zake ili baadae tuweze kupambana vizuri vijana wote watakapokuwa wemerudi.
Nindhani alipania sana kuwakera PSG, bahati mbaya mambo hayajaenda alivyotaka., kilichobaki ni atulize kichwa tu sasa,afanya mazoezi kadri anavyoweza.
Kuna sehemu nimeona kuwa Club imemcheck Zidane ili afanye mazungumzo na kijana,
Nindhani alipania sana kuwakera PSG, bahati mbaya mambo hayajaenda alivyotaka., kilichobaki ni atulize kichwa tu sasa,afanya mazoezi kadri anavyoweza.
Kuna sehemu nimeona kuwa Club imemcheck Zidane ili afanye mazungumzo na kijana,
Mbappe apunguze papara kila kitu kitaenda sawa, Ceballos ni staring material lazima aanze sijali nani atakaa bench. analeta kitu bora kuliko wengine wote ndani ya midfield.