Mzee hukuona alivyokuwa anaua moves golini kwao
kwahiyo mpaka sasa ballon dor tumpe nani?
wew na we tutole upambavu wako apo kila siku Jude Jude tumekuchokaameblock mipira miwili, wakati wenziwe wengi wameblock zaidi ya hiyo, alikuwa ni worst player ndani ya pitch kwa real madrid na hata rating zote zinazungumza hivyo.
Real Madrid player ratings vs Bayern Munich: Joselu, you cannot be serious?! Super-sub writes his name into Champions League folklore as Vinicius Jr's brilliance is rewarded with late comeback | Goal.com
Hii nimoja ya media inayompigia debe mno ila kwa jana pia imekosa uchochoro wa kumtetea.
wew na we tutole upambavu wako apo kila siku Jude Jude tumekuchoka
jukwaa sio lako hili Ndio maana unajibiwa na yoyote yule ingekua hutaki watu wenye viherere ungetengeneza jukwaa lako uwe una comment peke ako unakera haijarishi una mjibu nani kila siku wew ni sentensi moja kuwa Basi mtu mzima kidogokwanini unateseka? nimemjuibu mtu mwengine unadandia? kiherehere cha nini mkuu? Angelifunga goli huyo Jude ungekuwa unagaragara hapa na kunitafuta, ame flop kwenye game unajifanya hutakiwa kusikia habari zake
Mkuu samahani, naomba unicheki PM , yako naons umefunga, nataka tuongee jambo.jukwaa sio lako hili Ndio maana unajibiwa na yoyote yule ingekua hutaki watu wenye viherere ungetengeneza jukwaa lako uwe una comment peke ako unakera haijarishi una mjibu nani kila siku wew ni sentensi moja kuwa Basi mtu mzima kidogo
niulize apa apa naweza kukusaidia kama jambo lipo Ndani ya uwezo wanguMkuu samahani, naomba unicheki PM , yako naons umefunga, nataka tuongee jambo.
hapana izo kazi mimUkweli kuhusu utajiri wa ndagu
Habari zenu wakuu, natumaini mko poa. Kabla sijaenda mbali ningependa wataalamu na wazoefu wa hili suala la dangu za utajiri je lipo? Kama lipo linafanya kazi? Kama linafanya kazi stakeholder na maexpert wa field hii wajitokeze tujue hii kitu inaexit au scams tu. Asante kwa kuwakilisha, wazee...www.jamiiforums.com
Comment namba 54.
iyo kazi sifanyi sorry mtafte mtu mwingine kuna comment nying tu kweny hiyo maada unaweza kutafta mtu mwingine na comment yangu inajieleza unataka kitu Gani tena kutoka kwanguUkweli kuhusu utajiri wa ndagu
Habari zenu wakuu, natumaini mko poa. Kabla sijaenda mbali ningependa wataalamu na wazoefu wa hili suala la dangu za utajiri je lipo? Kama lipo linafanya kazi? Kama linafanya kazi stakeholder na maexpert wa field hii wajitokeze tujue hii kitu inaexit au scams tu. Asante kwa kuwakilisha, wazee...www.jamiiforums.com
Comment namba 54.
jukwaa sio lako hili Ndio maana unajibiwa na yoyote yule ingekua hutaki watu wenye viherere ungetengeneza jukwaa lako uwe una comment peke ako unakera haijarishi una mjibu nani kila siku wew ni sentensi moja kuwa Basi mtu mzima kidogo
Ukweli kuhusu utajiri wa ndagu
Habari zenu wakuu, natumaini mko poa. Kabla sijaenda mbali ningependa wataalamu na wazoefu wa hili suala la dangu za utajiri je lipo? Kama lipo linafanya kazi? Kama linafanya kazi stakeholder na maexpert wa field hii wajitokeze tujue hii kitu inaexit au scams tu. Asante kwa kuwakilisha, wazee...www.jamiiforums.com
Comment namba 54
hakuna anayeumia na comment zako ila umezidi kuandika upuziNawewe pia Jukwaa sio lako acha kuumia na comment za wenzio.
Hata kama mtu haumpeendi hii imekua too much yaani wewe hujaona jitihada yake yoyote?ameblock mipira miwili, wakati wenziwe wengi wameblock zaidi ya hiyo, alikuwa ni worst player ndani ya pitch kwa real madrid na hata rating zote zinazungumza hivyo.
Real Madrid player ratings vs Bayern Munich: Joselu, you cannot be serious?! Super-sub writes his name into Champions League folklore as Vinicius Jr's brilliance is rewarded with late comeback | Goal.com
Hii nimoja ya media inayompigia debe mno ila kwa jana pia imekosa uchochoro wa kumtetea.
Ukizidi kuleta nzi jukwaa letu tunaku choresha 7.Nawewe pia Jukwaa sio lako acha kuumia na comment za wenzio.
hakuna anayeumia na comment zako ila umezidi kuandika upuzi
Hata kama mtu haumpeendi hii imekua too much yaani wewe hujaona jitihada yake yoyote?
Ukizidi kuleta nzi jukwaa letu tunaku choresha 7.
watu awaumi ila wanakuona ni mjinga unakuweje shabiki wa timu ambayo huwapendi wachezaji wake kama sio unafiki ni nin au wew ni yule shabiki wa city una ID mbili mbili unajifanya ni shabiki wa Real madrid kumbe ni muongo ungekua shabiki wa kweli wa Real madrid usingekua unakuja kila siku na stori ya kukosa mchezaji tumekuchoka punda wemkuu kwanini munaumia na mimi kutoa mawazo yangu? kila mtu uwanjani anafanya jitihada, kwa hiyo hapa hatupu kwenye kzuungumzia jitihada, nimezungumza performance nzuri na sio jitihada.
Nani aliyetulia kweny hili jukwaa wew si ndio unaongoza kwa kupaluliwa na watu ulivyo mjinga kila siku unakuja na kimada chako icho icho jude jude acha kutafta sifa za kipuzi watu wapo kweny hili jukwaa kufrahia soka la timu yao wew unakuja na macomment ya ukosoaji usizani watu wanapenda unachoandika watu kukaa kimya haina maana kama hawaoni ujinga wako Punda wa kijani wendio nikasema unaumia mkuu, mana wenzio wametulia tu
Ni kweli mkuu ujuwe Ukiwa shabiki wa barca ukonde bure tuu. Barca yao.Hao siku hizi wanahamia kila timu, Manchester City, leo walikuwa Bayern, na kuanzia usiku huu ni Borrusia Dortmund. Hao ni bure kabisa hao