Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

okay japo in my final suggestion tumpe kijana muda
pengine ni zidane kweny kivuli kikavu tunapokuwa na pupa hatutaliona hilo... pia ni mapema sana kusema chochote iwe much positive tuta overrate mambo na pia much negativity tunakuwa tunaviua vipaji mapema

trust the process
 
Mkuu unajiaibisha sana,
Musiala ni photocopy ya akina leo Messi, David silva, Iniesta
Jud ni photocopy ya akina kevin prince boateng
aisee jude sio copy ya zidane tena

kwahio mna conclude nn sasa twende tukamswap na musiala pale bayern au tum uzie city afu hio pesa tukamchukue musiala

au tumlete musiala CAM aje acheze na CAM mwenzie jyde kwa pamoja
 
aisee jude sio copy ya zidane tena

kwahio mna conclude nn sasa twende tukamswap na musiala pale bayern au tum uzie city afu hio pesa tukamchukue musiala

au tumlete musiala CAM aje acheze na CAM mwenzie jyde kwa pamoja

Zidane na Jude wapi na wapi mkuu? Kwa kweli ni matusi kabisa
 
Mkuu unajiaibisha sana,
Musiala ni photocopy ya akina leo Messi, David silva, Iniesta
Jud ni photocopy ya akina kevin prince boateng
kumbe Uwezo wa MTU inategemea na photocopy?

Hata Nasi tunataka tujue wewe zimo au hazimo!!!

Basi tuambie wewe ni photocopy ya nani?

Maana usiwe unawajua ma photocopy wa wenzio ilihali we hujui mi photography wa nani.
 
Habari njema ni kuwa kipa letu la kibelgium limerudi na Jumapili litakuwa uwanjani kukipiga ili kupata match fitness.

Itakuwa njema akikaa golini siku ya match ya marudio na Bayern maana Lunin ukipiga tegeta na mbagala as long ulenge goli ujue imo.
 
Comment hii ifunge rasmi huu mjadala. Well said bro
 
Huyu Arder akipewa nafasi za mara kwa mara anaweza kuwa msaada mkubwa sana, skills zake za kusakata kabumbu zinatia matumaini sana.
 
Militão bado hayupo makini, mara ya pili anatoa boko, ila Courtois anasahihisha makosa yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…