Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Hakuna shida kwenye hilo man, ndio maana ya professional football, Mbappe kwasasa ni mwajiriwa wa PSG so yupo kazini kwake akimpambania majority wake., mbona ilishatutokea kwa wachezaji wengi sana na haikuwa ishu, kuna kipindi Morientes alitutoa akiwa na Monaco na haikuwa shida, wenzetu hapo ni waelewa sana.
Kama hali ingekuwa hivyo watu wasingekuwa wanahama team kwa kuogopa hiyo ishu. So relax man
 
Point Ila nafikiri wakisajili Real msimu ujao watakuwa kwenye quality nzuri zaidi na hatari
 
Nimesoma michango ya wadau wengi humu juu ya team yetu na namna inavyochelewa kwa ujumla.
Niseme tu hivi, tunacheza vile kutokana na aina ya wachezaji tulionao na experience ya team kwa ujumla, team yetu bado ipo kwenye transition, tuna team ya vijana wadogo wanaokuja, tunaona wanafanya makubwa uwanjani ila bado hawajakomaa kihivyo, kufanya makosa kwao ni jambo la kawaida, sasa kocha usipokuwa makini unaweza kujitukuta unapoteza kazi kijinga.

Ancelotti anachofanya ni kutumia silaha alizonazo vizuri kufanikisha malengo yake, na hapo ninamuelewa vizuri sana.
Anajua ana vijana wazuri kwenye kuzuia ana kiungo mzuri kwenye kufanya transition na ana washambuliaji wazuri na wenye speed, so yeye anatembea na hiyo falsafa yake, maana yake atabadilika kutokana na mpinzani atayekutana nae.
Anajua akicheza na City ama Barcelona hawa silaha yao ni kumiliki mpira mara nyingi, sasa yeye haendi kushindana nao kumiliki mpira, ila anaenda kuangalia namna ya kuwapiga kwenye udhaifu wao., ukisema sie tucheze kama fulani utapotea.
 
Point Ila nafikiri wakisajili Real msimu ujao watakuwa kwenye quality nzuri zaidi na hatari
Halafu inatakiwa watu waelewe kuwa Real Madrid mara nyingi Coach hafanyi usajili, ni mara chache sana Coach atatoa mapendekezo na yakafanyiwa kazi., ila kinachotokea ni kuwa Club inasajili kutokana na matakwa yake wanavyoona wao.
Kazi ya Coach pale ni ku-manage kikosi tu, na hapo ndipo utakapoona ugumu wa ile kazi, sio kila Coach amaweza kufanya kazi pale, hii team inayoiona ukimpa Kocha mwingine anaweza kupotea, mpeni Carlo maua yake.
 
Wale wadau wa Belingham tunaomba maoni yenu, Au na jana pia ni bahati mbaya game ilimkataa?

watu wanazani Real madrid ni Man u kila mchezaji anayevuma basi wanamsajili tu watu wanasindwa kujiuliza kwanin kipind wale watoto wa Ajax wanavuma Real madrid ilikua inahusishwa na kumtaka Van dee beek na sio kina Frenkie dejong wakati kina Frenkie dejong ndio walikua wanakiwasha balaa.
 
Kwa kweli Real wamefail kwenye usajili ya JUDE, sio quality ya kum replace Luka, Musiala alikuwa ni better option. Jamaa unaotea kabisa kwenye big games. ambazo ndio hua anatakiwa afungulie mashine zake uwanjani.
Lete takwimu za Musiala kwenye big games msimu huu
 
Madrid ilichukua uefa 3 mfululizo, Kwa style Hii Hii ya kuita bahati,

So tulieni muone bahati inavyofanya kazi.
 
Naam mkuu points tupu
 
Macho yako hua Kwa Bellingham Tu, Wengine wakicheza Chini ya kiwango husemi, Una matatizo wewe
mzee ukiendele kubishana na uyo jamaa hamuwez kufikia muafaka apo unachofanya ni kupoteza mda wako tu wew ungemuacha aendele kuamini anachokiamini yani jamaa amekaa mda wote anasubiri Bellingham akosee tu ili apate pakupigilia msumari.
 


Msikilize bernado silva
 

Mkuu Raul ali fail? Raul gani unayemkusudia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…