United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 3,234
- 6,597
apo kaaza kulalamika kwanin kati ya maneno ya English na kiswahili hayafanani yani anataka aanze kufanyiwa word to word translation kana kwamba kweny hili jukwaa kuna mwalimu wake wa ukalimani na LughaPoleni sana Wakuu., mna kazi kubwa ya kuelemisha na kufundisha, sio kazi ndogo,
We ambacho hutaki kipi?Kama kigezo ni kuibuka si wangewapa wote walioibuka kwani kaibuka yeye Tu?
Jude Bellingham kaibuka na kafanya vizuri kuliko wote duniani ndomana kapewa tuzo.
Attention seeker huyo mwacheni alivyoHatari aisee jamaa anataka tuwe bize na yeye tu
Maelekezo yangu sio tatizo, Dish lako ndio tatizo halipokei mawimbi vizuri Kwa sababu limeyumba,Tatizo nikuwa maelezo yako yamepotosha maana, halafu bado unatumia nguvu nyingi kujitetea, Kuna tofauti kubwa kati ta kuibuka na kuwa Bora.
Jibu hapana,
Wametumia kigezo kipi kumpa hiyo tuzo Kama sio ubora?
Kwani mwanamichezo Alieibuka ni yeye au kashindanishwa?
Na Kama kashindanishwa wameangalia kigezo kipi mpaka kumpa tuzo Kama sio ubora?
Nimegundua unakaza Sana fuvu mkuu achana na hizo mambo za kubishana kitu unajua harafu unajichetua.
Au ndio kutufanya watoto sie?
Ishii we jamaa huenda Una stress, hoja yako iko wapi na nachokimbia kikowapi.kwanini unakimbia hoja? umesema uwongo hadharani halafu unatumia nguvu nyingi kujitetea
Ishii we jamaa huenda Una stress, hoja yako iko wapi na nachokimbia kikowapi.
Ilete hiyo taarifa na onyesha ilipopotosha mbona simple tukwan nimeifuta?Taarifa uliyoleta ulipotosha either kwa makusudi au bila ya kukusudia kwa maelezo yako ikiwa ni katika njia ya kupamba, baada ya kukosolewa umekuwa ukitumia nguvu nyingi kutetea hoja badala kukubali ukweli ulio wazi.
Ilete hiyo taarifa na onyesha ilipopotosha mbona simple tukwan nimeifuta?
Kungekua hakuna haja ungekaa kimya toka juzi au tungekua kwenye mada ingingine,hakuna haja ya kurejea yaliyokwisha ata, ukikagua tu mwenyew post zako utajionea.
Haya yapeleke haya maneno kwenye Kilugha chenu Yana maana gani?
Haya yapeleke haya maneno kwenye Kilugha chenu Yana maana gani?
Mimi niliandika Jude Bellingham ameshinda tuzo ya Laureus World Breakthrough of the Year, 2024,Mkuu vipi umeshalewa? Mimi nimeeleza kuwa Djokovic ameshinda mwanamichezo bora wa mwaka, Na sio Jude kama ulivyojaribu kueleza wewe, Na ameshindana na Halland. Sasa tutafsiri nini hapo chengine? Na huo ndio uthibitisho wa hiyo tunzo. Tunzo ya Jude ilikuwa ni kwa tafsiri nyepesi ni ya mastaa wanaochupikia na sio ya mchezaji bora. Sasa hapo bado unaendelea kukomaa?
Kuja juu maana yake nini?Maana ya breakthrough Player ni mchezaji aliebuka au aliekuja juu na sio mchezaji bora. Na hiyo tunzo sio ya football ni tunzo ya Sports kiujumla, Na tunzo ya mwanamichezo bora ilichukuliwa na mcheza tenis Djokovic, Huku Halland akiwa ndio mshindani wake.
Tuache kunywishana chai jamani.
Laureus 2024 Nominations | Laureus
Hiki kikosi chetu cha leo dhidi ya Sociedad😂😂😂dah...naona rotation ya nguvu imefanyika.