Raj kapool
JF-Expert Member
- Jun 29, 2018
- 1,558
- 2,603
Camavinga acheze beki ya kushoto huyo Mendy hapanaHawa hapa Wachezaji ambao wataunda kikosi cha Real Madrid kitakachowakabili man cityView attachment 2958026
Naam kweliCamavinga acheze beki ya kushoto huyo Mendy hapana
Tunawapelekea moto hivo hivo hata kama mkifunga mirango na madirisha kudadekiiiReal Madrid wameomba Kwa Uefa mechi ya Kesho Santiago bernabeu uwanja huo ufunikwe Kwa juu ili kelele za mashabiki zisikike vizuri,
Nami nawashauri Kesho kabla ya kufunika,
Wafunge milango yote Kwanza na walinzi wahakikishe The citizens wote wamo ndani.
Haitapendeza yatokee mambo ya Fernabache.
Nisizunguke Sana nitawachosha,
Ni hiviii "Kisago cha Kesho Kipara lazima apeleke salamu Kwa swahiba wake Arteta".
Mimi presha ipo juu tu, acha tusubiri tu mpka hapo baadae.,Hii game yetu na City,imani kubwa sana niko nayo hawa tunawapiga nje ndani..sisi huwa hatukubali kufungwa mara mbili lakini pia tuna vijana sasa wenye kiu kubwa ya mafanikio na zaidi city dawa yao imepatikana na uwezo wako nao umeshuka.
Nguvu Yao kubwa ni Kwa RodriMimi presha ipo juu tu, acha tusubiri tu mpka hapo baadae.,
Sijaangalia game za City, so sijui wana nguvu sehemu gani na udhaifu sehemu gani kulinganisha na kwetu.
Ila Tumaini ni moja tu Ushindi
#HalaMadrid
Nguvu Yao kubwa ni Kwa Rodri
wew hungalii game za city Rodri ndio muhimili wa city Last season Gundogan na Rodri ndio walikua muhimili wa timu msimu huu pengo la Gundogan limeonekana sana nazani ndio chanzo cha City kushuka ki perfomance KDB,Halland,Bernado ni wachezaji wamuhimu wa city ila sio muhili wa Timu Gundogan na Rodri ndio best player wa City last seasonaliekwambia ni nani? Ushindi wa City na KDB / Halland /Bernando. Ukiwakamata hao watatu umemaliza kazi
Ikifika saa 21:30hrs, saa za Afrika Mashariki, Ancelloti anatoa kikosi chake kitakachoanza hapo baadaeVamos halla madrid mda unazidi kusogea tu
kwanin tusipanie watoto wadogo wale last season wametupa aibu kubwa sanaNinachoona hii game Madrid kama wameipania sana.
anceloti anataka kuua game apa apa benarbeu
mim shida angu ipo kwa mendey apo