Ulikuwa uoga wa Ancelloti tu, ila Lunin ni golikipa mzuri sana, alihitaji kuaminiwa tu basi, alitaka kuondoka msimu uliopita akaghairi, sioni akiondoka tena kwasasa.
Tchouameni amesettle sasa, sina wasi wasi nae tena, jana amecheza kwa utulivu sana, sema siku nyingine tunacheza na team aina ya Barcelona sio vibaya Camavinga akaanzia mbavu ya kushoto, huwa anaongeza flow ya mshambulizi pia tunashika dimba vizuri.