Game moja ya kibabe sana, humour ndani sio ya kupima, vijana wameimarika sana kiukweli., nimependa spirit yao.,
Bila kumsahau Camavinga, yupo anakiga beki aa kushoto, amebadilisha uchezaji wetu sana.
Acha tusubiri extra time tuone ni team gani itaingia final
VamoooosReal!!