Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Kijana amekuja kuona na kujua mazingira atakayo-anayafanyia kazi kuanzia msimu mpya Mwakani.
Nimtakie tu kila la heri, nikiamini hatotuangusha.
#Halamadrid
 

Florentino Pérez: “Merry Christmas and may 2024 bring health, peace, work, happiness and solidarity for all of us​

 
Hello Madridistas.,muda mfupi ujao vijana wetu watakuwa uwanjani dhidi ya Mallorca.
Dimba ni Santiago Bernabeu
 
Real Madrid XI: Lunin; Carvajal, Rudiger, Tchouameni, Fran Garcia; Kroos, Valverde; Modric, Bellingham, Vinicius, Rodrygo
 
Tunaingia kipindi sasa, acha tuone kama kuna kutakuwa na mabadiliko kipindi hiki ama ndio mwendo utakuwa huu huu
 
Militao anarudi mdogo mdogo, ndio maana club haina mpango wa kusajili beki wa kati., mpaka Mwezi ujao tunaweza tukapata taarifa njema kutoka kwake.
 
Muda mchache ujao, vijana watakuwa uwanjani dhidi ya Atletico Madrid kwenye nusu fainali ya Super Copa., nchini Saudi Arabia
 
Ndani ya week hizi kadhaa tutakutana na Atletico Madrid mara tu, tukimaliza hii game ya leo tarehe 18/01 tutakutana tena kwenye Copa del rey
 
Game moja ya kibabe sana, humour ndani sio ya kupima, vijana wameimarika sana kiukweli., nimependa spirit yao.,
Bila kumsahau Camavinga, yupo anakiga beki aa kushoto, amebadilisha uchezaji wetu sana.
Acha tusubiri extra time tuone ni team gani itaingia final

VamoooosReal!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…