ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 16,286
- 31,682
Score808.comUliangalia kupitia channel gani man? Niliitafuta bila mafanikio,
Barcelona wana team nzuri sana na wana vipaji haswa, ila mdogo mdogo tutawafikia tu, siwezi kuibeza team yetu kwa kuwa ninajua fika kiwango cha wapinzani wetu, juzi tulitoka droo na Chelsea kwenye Champions league, ni hatua nzuri kwa kuwa Chelsea na wao wana team nzuri sana.
Linda na wenzie akina, Olga, Naomi, Caro na wengine, wana viwango vizuri tu, ila wanahitaji uzeofu na wakali wenzao kuwaimarisha.
Sure team imebadilika kuna progress naiona Naomi yupo vizuri na OlgaUliangalia kupitia channel gani man? Niliitafuta bila mafanikio,
Barcelona wana team nzuri sana na wana vipaji haswa, ila mdogo mdogo tutawafikia tu, siwezi kuibeza team yetu kwa kuwa ninajua fika kiwango cha wapinzani wetu, juzi tulitoka droo na Chelsea kwenye Champions league, ni hatua nzuri kwa kuwa Chelsea na wao wana team nzuri sana.
Linda na wenzie akina, Olga, Naomi, Caro na wengine, wana viwango vizuri tu, ila wanahitaji uzeofu na wakali wenzao kuwaimarisha.
Shukran sana Mkuu, itakuwa ndio site yangu ya kuangalia game zao.Score808.com
Shukran sana Mkuu kwa taarifa, nitaifuatilia man, nitakuwa nimemaliza majukumu yangu muda huo.Cesar Caspar Leo Real Madrid W wapo dimbani mechi itakua live score808
Tumepigwa 2-1Shukran sana Mkuu kwa taarifa, nitaifuatilia man, nitakuwa nimemaliza majukumu yangu muda huo.
Acha tuone akina Dada zetu kama wana mikiki kwenye champions league kama ilivyo kwa kaka zao
Sio kupigwa tuu ilikua comebackTumepigwa 2-1
Eeh man niliangalia dakika kadhaa za mwisho, yule kocha ana game kadhaa tu endapo hali itabakia hivi hivi, hii ni game ya pili wanapoteza mfulilizo, team niliona kama haina muunganiko, wanategemea zaidi uwezo wa mchezaji mmoja mmoja badala ya team.Tumepigwa 2-1
Jana yalitokea mabadiliko kwenye Starting line up yetu, ila kutokana na majukumu nilishindwa ku updates.,
Castilla tu ndio ninaona wanachechemea, team bado haijaungana kabisa, lakini kuondokewa na wachezaji wengi mahiri kwa mkupuo pia inaweza ikawa ni shida.,What a beautiful Sunday to Los blancosView attachment 2826226
Joselu inabidi ajitathimini nafasi tano anafunga mojaHuyu Bellingham ninaona hapoi., anajua kujiweka katika nafasi nzuri sana za kufunga, Bonge la assist kutoka kwa Alaba
Jana alikuwa hana bahati man, hata hivyo alikuja kama msaidizi tu, kwahiyo anajitahidi.Joselu inabidi ajitathimini nafasi tano anafunga moja
He's next Ballon o dor winnerJamani nyie Bellingham ni jini , haongelewi sana ila huyu dogo ni jini linalotengenezwa ,na majereha asisopata atakuja kuwa bonge moja la monster trust me
Jamani nyie Bellingham ni jini , haongelewi sana ila huyu dogo ni jini linalotengenezwa ,na majereha asisopata atakuja kuwa bonge moja la monster trust me
We jamaa kwamba huoni anachofanya uwanjani au ?jamaa ni another overrated pice of shit, Media za kiengereza zinatumia nguvu nyingi kuaminsha kuwa anaibeba Real Madrid kitu ambacho hakina uhalisia. Licha ya kuwa simkubali Vini lakini huyu jamaa hawezi kumzidi vini wala Rodrygo kwa uwezo.