Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

🚨⛔️ Vinicius will be out until February, Camavinga will be out until January and more…

⚪️🤕 Real Madrid’s current injury list updated.

🔴 Thibaut Courtois
🔴 Éder Militão
🔴 Aurélien Tchouaméni
🔴 Dani Ceballos
🔴 Kepa
🔴 Arda Güler
🔴 Eduardo Camavinga
🔴 Vinicius Jr
 
Yaani list ni ndefu sana aisee, sijui itakuwaje, acha tuone Carlo atafanyaje, ila kazi ipo.,
Huyo Arda Guler amefanya mpaka Dr wa first team ameachishwa kazi.
 
Hii timu yetu ya wanawake ifutwe tu
...timu haijui thamani yakuvaa jezi yetu.

Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
Hapana Mkuu, bado team inajengwa mdogo mdogo, haina hata miaka mitano na imeshaingia makundi club bingwa, ni kwamba Barcelona wana team nzuri sana, kumbuka wametawala hilo soka la Wanawake kwa muda mrefu, kwasababu hapakuwepo na team kubwa ya kuwapa upinzani haswa Spain, so ilikuwa ni rahisi kuwasajili wachezaji wenye vipaji kwa kuwa hawakuwa na sehemu ya kukimbilia, ila kwasasa itakuwa tofauti kwa sababu Real Madrid ipo, na tumeanza mdogo mdogo, tumemchukua Linda ndio kwanza ana miaka 18, Caroline Weir tunae japokuwa ni majeruhi.,
Ninaamini team itaendelea kuimarika kadri muda unavyoenda, sio rahisi kuwafikia Barcelona kwa muda mfupi ila kwa kadri team inavyoendelea kuundwa tutawafikia tu.
 
Jana nlikua na angalia hio mechi tulivyo pigwa goli la tatu nika acha ilikua aibu ila Linda Caicedo ana kitu yule mtoto
 
Jana nlikua na angalia hio mechi tulivyo pigwa goli la tatu nika acha ilikua aibu ila Linda Caicedo ana kitu yule mtoto
Uliangalia kupitia channel gani man? Niliitafuta bila mafanikio,
Barcelona wana team nzuri sana na wana vipaji haswa, ila mdogo mdogo tutawafikia tu, siwezi kuibeza team yetu kwa kuwa ninajua fika kiwango cha wapinzani wetu, juzi tulitoka droo na Chelsea kwenye Champions league, ni hatua nzuri kwa kuwa Chelsea na wao wana team nzuri sana.
Linda na wenzie akina, Olga, Naomi, Caro na wengine, wana viwango vizuri tu, ila wanahitaji uzeofu na wakali wenzao kuwaimarisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…