Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,020
- 22,078
Hivi Ancelotti ameshinda mechi gani ngumu msimu huu?
Hapa kuna kila haja ya kubadili kocha kama hawezi kubadili hii style tunachezi. Sioni ikitupeleka popote.
Vinni alikuwa na poor perfomance leo ila ametumika kumtoa GAVI kwenye concentration ya game. Barca alijaza defensive midfielders matokeo yake mipango ya goli ikawa imekufa huku valverde na maestro luca wakibaki na dimbaHii kenge vini sijui kwanini bado haijatoka
Naona draw mbili hapo wengine wote itabidi wanisamehe
Acha uhuniHivi Ancelotti ameshinda mechi gani ngumu msimu huu?
Daah, ni pigo sana kwake na kwa team kwa ujumla, alishaanza kukamata lile dimba vizuri, alikuwa anatimiza majukumu yake vizuri., jana alitandika mkwaju mmoja mqtata sana, sema Ter stegen aliuona, ninadhani hata ile iliwaongezea vijana confidence kuwa hawa jamaa uwezekano wa kuwapiga upo., Augue Pole na arudi dimbani mapema iwezekanavyo.Kuna taarifa tutamkosa tchouameni kwa kipindi cha miezi miwili. Ni zamu ya camavinga kucheza dimba pale.
Kuna muda Vini Jr ana utoto na mambo yasiyo na faida kwake na kwa team kwa ujumla, ninaona Carlo aliamua kuchukua jukumu, sio lazima kila muda ubishane, shida ni kwamba anabishana mpka na mashabiki.Huyu dogo atafutiwe tibaView attachment 2796764
Jude mumfanye awe striker Tu mazima ,mumtoe kwenye mildifield ,dogo anajua kucheka na nyavu sana huyu
Tuna mwacha hapo hapo. Siku zote madrid tunacheza kwa kutumia false nine. Kikosi cha madrid bado MBAPE na ALFONSO DAVIES tuwe tumemaliza kazi.Jude mumfanye awe striker Tu mazima ,mumtoe kwenye mildifield ,dogo anajua kucheka na nyavu sana huyu
Daah, ni pigo sana kwake na kwa team kwa ujumla, alishaanza kukamata lile dimba vizuri, alikuwa anatimiza majukumu yake vizuri., jana alitandika mkwaju mmoja mqtata sana, sema Ter stegen aliuona, ninadhani hata ile iliwaongezea vijana confidence kuwa hawa jamaa uwezekano wa kuwapiga upo., Augue Pole na arudi dimbani mapema iwezekanavyo.
Camavinga kiukweli ninatamani acheze kama left back, akikipiga pale tunakuwa na advantage, kwanza yupo vizuri upande ule na pili anakaba vizuri pia.,
Ingizo lake jana na mwenzie Luka ndio lilituletea matokea chanya.
Kuna mwana madrid mwenzangu aliwai sema sana jude vibaya. Hope jude anajaribu muelewesha namna yake ya uchezaji