Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Bro na wasi wasi huangalii mechi za real madrid camavinga na valvelde wamecheza box to box vizuri sana msimu huu mkuuu. Take tym pitia game zao uone mambo yao aseee.
HALLA MADRID
 
Bro na wasi wasi huangalii mechi za real madrid camavinga na valvelde wamecheza box to box vizuri sana msimu huu mkuuu. Take tym pitia game zao uone mambo yao aseee.
HALLA MADRID

Mechi gani? Camavinga always amekua akicheza CDM anapocheza midfield. labda last season alicheza baadhi mechi.
 

Thamani ya mchezaji haitokani na uwezo wake tu, bali kuna mengi nyuma yake. Silva dau lake haliwezi hata kufika 100 m hata awemo ndani ya top 3 ya baloon Dior. Jude na Bruno wote wana thamani zaidi yake ila kiuwezo umewaacha wote.
 

Asensio anaondoka plus bernado kamaliza mkataba na city mwisho wa msimu. Ngoja tuone maana lazima tuwe na wingi ya pembeni.

Brahim naona kama return yake haitowezakana. Tunaweza amua muuza tukwaisha deal la winga mwingine
 
Ngoja ancelotti amalizie mda wake tuu atupishe. Next season tutakua na coaching mpya
 
Asensio anaondoka plus bernado kamaliza mkataba na city mwisho wa msimu. Ngoja tuone maana lazima tuwe na wingi ya pembeni.

Brahim naona kama return yake haitowezakana. Tunaweza amua muuza tukwaisha deal la winga mwingine
Bernado akiondoka City, basi destination ni Camp Nou. Kaeni kwa kutulia mtani. Sisi pia tunapambana na hali yetu. Kazi ya kuziba pengo la Busquets, ni kama kazi ya kuziba pengo la Modric.

Hauwezi kuliziba kwa kutumia mchezaji mmoja, you'll need a new system of several players!
 
Kwa mapendekezo yako unaona kocha gani ataendana na falsafa za Real ukimuacha Carlo?

Kwa timu inavyojengwa. Ex kocha wa bayern atapewa timu ku develop wale vijana huku akiongeza ushindani. Amekuza vijana kabla ajaenda leipzig. Timu ikafika hadi semifinal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…