pierre tall
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,259
- 3,754
Kwa muda sasa unajua tumekosa mtu sampuli ya Ozil,yaan namba kumi ambayo inaweza kutoa pasi mchomoko foward akabaki na kipa,yaan zile pass zakupasua ngome ya adui,tunatumia winga sana.Don Carlo abaki tufanye usajiri wa baadhi ya maeneo , striker backup ya Benzema, RB, LB, na number 10
Sasa anacomplain kwamba washabiki wa Valencia walikuwa wanamfanyia sana swala la ubaguzi wa rangi,kwa hiyo hawezi tena kuendelea kucheza(amesusa),..japokuwa ni kwel amebaguliwa lakini yeye siyo wa kwanza na wala hawezi kuwa wa mwisho,issue ya ubaguzi ipo na yeye ni anatakiwa awafunge mdomo uwanjani...huyu bwana mdogo anatakiwa ajue kuwa mchezaji bora kiwango cha dunia cha juu kabisa siyo kazi rahisi..
Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
Outer za modric hamzitaki,?Kwa muda sasa unajua tumekosa mtu sampuli ya Ozil,yaan namba kumi ambayo inaweza kutoa pasi mchomoko foward akabaki na kipa,yaan zile pass zakupasua ngome ya adui,tunatumia winga sana.
Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
Don Carlo abaki tufanye usajiri wa baadhi ya maeneo , striker backup ya Benzema, RB, LB, na number 10
Umri umesonga sasa,na wapinzani wameshamzoea sasa na washajua uimara wake na udhaifa wake...na mara nyingi utamuona anashuka hadi chini huku..Outer za modric hamzitaki,?
Bila kusahau CDM mgumu kama walivopita gravesen,khedira na casemirotimu inamadhaifu mengi sana, RB, LB, nafasi ya Luka Na right side foward wa kiwango cha juu.
Bila kusahau CDM mgumu kama walivopita gravesen,khedira na casemiro
Leo tuko uwanjani na wachezaji wataingia wakiwa wamevaa jezi yenye namba 20 kuonesha support kwa vin kuelekea tukio lake
ila wakuu mnamsema sana Vini kua analia lia..ila hapana anabaguliwa mno.
Inasemekana ile red card aliyopewa Vini imefutwa..
Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
Vini hatakiwi onewa huruma, ana dharau sana na kujiona. Kwanini kila siku iwe yeye tu
Tchou anatosha sana upande wa CDM ila anatatizo moja tuu jamaa kukaba anaweza shida ni kudeliver sasa madrid inataka CDM ambaye kukaba anajua yaan kuforn shield vile vile madrid inataka CDM ambaye ikifika saa ya mashambulizi ana build up haraka kwenye kushambulia. Camavinga is the best kwenye vyote viwili kule LB apatikane mtu ili CAMAVINGA akae sehemu yake Tchou atatumika kwenye rotation.Tchouameni anatosha kwa hapo.
Tchou anatosha sana upande wa CDM ila anatatizo moja tuu jamaa kukaba anaweza shida ni kudeliver sasa madrid inataka CDM ambaye kukaba anajua yaan kuforn shield vile vile madrid inataka CDM ambaye ikifika saa ya mashambulizi ana build up haraka kwenye kushambulia. Camavinga is the best kwenye vyote viwili kule LB apatikane mtu ili CAMAVINGA akae sehemu yake Tchou atatumika kwenye rotation.
Next season we will conquer all European giants like last season.
HALLA MADRID
Nakubaliana na ww kwa 100%. Ila utakunaliana na mm Tchou anakaba sana kuliko kuanzisha mashambulizi. Ila yupo njema. Tchou na Camavinga sub zao kwenye final ya wirld cup ndo iliirudisha FRENCHMEN kwenye mchezo amasivyo game ile ilikuwa inaisha first halfTchou ni best Option kwa CDM. Huwezi kabisa kulinganisha umakini wa Camavinga na Tchou kwenye hiyo position, Tchou anacheza kwa umakini wa hali ya juu sana.
Tatizo kubwa pale ni Kroos, amezeeka kwa kweli na ndio anakuwa mzigo kwa wengine.
Nakubaliana na ww kwa 100%. Ila utakunaliana na mm Tchou anakaba sana kuliko kuanzisha mashambulizi. Ila yupo njema. Tchou na Camavinga sub zao kwenye final ya wirld cup ndo iliirudisha FRENCHMEN kwenye mchezo amasivyo game ile ilikuwa inaisha first half
Bernado silva sio wa bei ndogo mkuu I bet yu this time bernado silva atakuwepo kwenye top three ya baloon dior. Bei yake itakuwa mkasi ile mbaya. Bruno ndio ila shida yetu sio midfield tunao wengi sana MIDS pale hadi kuchagua inakuwa kazi. Mind yu Kovasic na Odergad wanamikataba ambayo wakitaka kuuzwa lazima real madrid afahamishwe kwanza so mido ni wa kutosha.Tchou mbona alicheza dakika 120 kwenye ile mechi final.
Camavinga anahitajika ku adopt box to box position ili achukuwe mikoba ya Kroos Pale Real, halafu watafute good replacement ya Modric ili aje acheze na Vinga na Tchou pamoja. Ila Jude sio chagua sahihi, mana attcking ability yake bado sio standard ya timu kama Real Madrid, na kwa position za chini hawezi kuwaingia hao madogo wa kifaransa. Wanahitaji mtu kama Bernando Silva ama Bruno Fernandez pale ambao naamini gharama yao itakuwa ndogo zaidi na uwezo wao ni mkubwa zaidi.