Murashani GALACTICO
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,516
- 5,418
Bajeti yake ya usajili pale LIVERKUSEN dogo na anajitahidi kwa kweli apewe maua yakehuyo Xabi Alonso ni bomu linasubiri kumrepukia mtu, Kocha haja achive chochote cha mana anapigiwa debe kama lote
Bajeti yake ya usajili pale LIVERKUSEN dogo na anajitahidi kwa kweli apewe maua yake
Angalia alipewa bajet ya shi ngapi kwenye usajiliyani Liverkusen ipo ya situ kwenye ligi timu ina straggle kutafuta nafasi ya Europa wakati kawaida ni timu inayoshiriki Champion League kila msimu unasema anajitahidi?
Angalia alipewa bajet ya shi ngapi kwenye usajili
Binafsi natamani Mourinho arudi...aliirudisha timu kwenye mstari sana na morali yakushinda nakuchukua vikombe.
Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
Vin anapoteza tu muda hapa,anagombana na washabiki wa Valencia bhana..
Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
Anacheza na jukwaa sana...nafikiri inatakiwa apate tena darasa lakuwekwa sawa kiakili afocus na mechi siyo vingine..angalia kala wayaDogo ana mambo mengi sana uwanjani anakera sana. Though ndio best player wetu msimu huu
Anacheza na jukwaa sana...nafikiri inatakiwa apate tena darasa lakuwekwa sawa kiakili afocus na mechi siyo vingine..angalia kala waya
Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
Hamna kocha mpya msimu ujao, nimeona taarifa Carlo amehakikishiwa kuwa kocha mpya na wataingiza wachezaji wapya3Ngoja kocha mpya aje. Atasahihisha hili swala
Sasa anacomplain kwamba washabiki wa Valencia walikuwa wanamfanyia sana swala la ubaguzi wa rangi,kwa hiyo hawezi tena kuendelea kucheza(amesusa),..japokuwa ni kwel amebaguliwa lakini yeye siyo wa kwanza na wala hawezi kuwa wa mwisho,issue ya ubaguzi ipo na yeye ni anatakiwa awafunge mdomo uwanjani...huyu bwana mdogo anatakiwa ajue kuwa mchezaji bora kiwango cha dunia cha juu kabisa siyo kazi rahisi..Ngoja kocha mpya aje. Atasahihisha hili swala
Hata me nimeiona...ila hata kama akibaki basi Carlo abadili aina yetu ya uchezaji,hii habari yakutegemea cross ndio tuwe tunafunga magoli almost timu zote zishapata dawa,wapinzani wetu wote wamepata dawa yetu.Hamna kocha mpya msimu ujao, nimeona taarifa Carlo amehakikishiwa kuwa kocha mpya na wataingiza wachezaji wapya3
Sasa anacomplain kwamba washabiki wa Valencia walikuwa wanamfanyia sana swala la ubaguzi wa rangi,kwa hiyo hawezi tena kuendelea kucheza(amesusa),..japokuwa ni kwel amebaguliwa lakini yeye siyo wa kwanza na wala hawezi kuwa wa mwisho,issue ya ubaguzi ipo na yeye ni anatakiwa awafunge mdomo uwanjani...huyu bwana mdogo anatakiwa ajue kuwa mchezaji bora kiwango cha dunia cha juu kabisa siyo kazi rahisi..
Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
Hamna kocha mpya msimu ujao, nimeona taarifa Carlo amehakikishiwa kuwa kocha mpya na wataingiza wachezaji wapya3
Don Carlo abaki tufanye usajiri wa baadhi ya maeneo , striker backup ya Benzema, RB, LB, na number 10Tusubiri lakini nafikiri ni moja ya njia ya kum backup ili tumalize tulichokiaanza msimu huu. Sina imani kama ataendelea kuwapo msimu ujao
Bado mnamtumia benzema tuDon Carlo abaki tufanye usajiri wa baadhi ya maeneo , striker backup ya Benzema, RB, LB, na number 10
Watu kama nyie ni ku wa ignore tuBado mnamtumia benzema tu
Anakimbia kama mjamzitoWatu kama nyie ni ku wa ignore tu