Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Kwa waliozaliwa 2000's ni sahihi unachosema. Sababu ule msimu wa 2010-2011 ambao City alichukua Epl dakika ya mwisho kwa goli la kihistoria la Aguero vs QPR ni mwaka ambao waliozaliwa 2000's ni kama ndo walianza kua na ufahamu wa mpira
 
Wa kwanza militao,goli zote zmepita kwake


Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Na eneo la kiungo,goli mbili za kwanza zimetokea kwa kroos,kroos alikuwa na Benardo,akamuacha hata kumzuia asipige hakufanya hivyo,akamuacha akapokea mpira akafunga,la pili kwa modric kasimama bernado anatoka anaenda kucheza mpira tunafungwa.

Ni maswala ya umri nakwa sababu wameshinda kila kitu,ile mizuka haipo tena.

Cha pili ushambuliaji,Benzema kwa muda sasa hayupo kwenye ubora hata wa 80%,mpira haukai mguuni,ile control hana na hata namna yakurespond kwa wenzake akiwa na mpira kwa sasa ni low sana.

Eneo lingine ni beki za pembeni na kati,pembeni hatuna mbadala ndo maana tunamrudisha camavinga acheze kushoto ilihali kulia nako akiumia Carvajall basi hatuna mtu mwingine.

Game ya jana kupoteza ni matokeo ya Carlo kupanga kikosi kile kile na style ya uchezaji ule ule wakat mwenzako misimu kadhaa nyuma ukijumlisha na uliopita unakuwa unamtoa kila mara,na unaona anakusoma ilihali sisi hatubadiliki,huwez kumtegemea Benzema au Kutegemea mipira ya vichwa/cross ilihali City alienda sokoni kununua wachezaji wa nyuma warefu,ilitakiwa pale after first leg tujifunze kuwa ile style imefail tuje na mpango mpya wakutawala eneo la kati.

However,hatuumii kufungwa na City ila tunaumia kupoteza ubingwa wetu huu wa UCL katika hatua hii ya nusu fainali na ikumbukwe hili kombe ni haki yetu nani letu na pia ndio historia yetu na ubora wetu, na ndio maana ni club bora duniani kwa karne tatu kama siyo nne mfululizo na ndio maana huwa tunalibeba back to back as much as we can.

Halla madrid.

Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
 
Umekalil vibaya mkuu SPANISH LA LIGA ndo my first choice tangu 1998.
Hapo EPL utanikuta nipo the blues tangu enzi za claudio Ranieri
Sasa hapo ndio hoja ilipo kuwa LA LIGA bongo haina mvuto na mashabiki wengi humu jukwaani lazima wana timu zao za EPL wanashabikia (hio ndio hoja yetu). Kama mngekua mashabiki kweli mngebaki tu kuwa mashabiki wa Madrid bila kuwa na timu ingine EPL(Wengi wanashabikia Madrid sababu ya kufuata furaha ya UEFA)

Kwa kuwa EPL ni ligi maarufu bongo ndio maana wengi lazima wanaoshabikia. Ni kawaida mashabiki wengi wa EPL wanashabikia EPL tu bila kushabikia LA LIGA ila ni nadra kumkuta mshabiki wa LA LIGA hashabikii EPL (wengi wenu mnaishabikia EPL)
 
Don carlo anasisitiza kwamba bado yupo yupo sana. Nilifikiri XABI ALONSO na RAUL GONZALEZI wangepewa mikoba ila tuendeleee kumuamini DON CARLO aendelee kutuongoza.
Kwa mimi nafikiri anatakiwa aachie ngazi,aje Xavi alonso ambaye kaonyesha jambo huko Ujerumani..

Don carlo kafikia mwisho wa mbinu kwa sasa,inahitajika akili mpya na mipango mipya.

Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
 
Mimi sina timu EPL wala hio ligi hua sina mzuka nayo
 
Tatizo mmekariri kwamba kila anaependa mpira lazima awe na timu England. Binafsi ni die hard fan wa Ac Milan, nafuatilia Serie A kama mnavyofuatilia Epl. Sina timu nnayoshabikia England zaidi ya kuwaheshimu tu Liverpool ambao Milan tuna historia nao. Ila sababu napenda mpira naangalia sana na kuifuatilia pia Epl sababu ni wazi ndio ligi maarufu, na sababu kila mwaka huwa nacheza Epl fantasy. Nafahamu pia watu wanaoishabikia timu kama Bayern, Madrid, Juve n.k kindakindaki na Epl wanaangalia kwa mapenzi tu ya mpira, so usikariri kila mtu lazima awe na timu England. Kingine Madrid haijaanza kutakata miaka ya karibuni ambayo wameanza kuchkua uefa mfululizo kama wengi wanavyodhani. Miaka na miaka Madrid hawajawahi kupotea kwenye ramani, toka miaka hiyo mpaka zama za Florentino Perez kuanzia miaka ya 2000 na policy yake ya Galacticos. So ni sahihi kumkuta mkongwe anashabikia Madrid
 
Huo mvuto unaousemea ni upi....??
 
Mkumbushe hvi real madrid ndio club of the century hadi sasa anashikilia iyo tuzo
 
Asiyekubali kushindwa sio mshindani. Jana city alikuwa bora kuliko sisi.
Tuliingia na mfumo wa kujulinda sana tupige back passes nyingi ili kuwapeleka city dakika za jion ambazo sisi huwa ndo gari linawaka mpango una fail.
The only thing do Carlo alichojisahau ni kwamba the only way to defend is to possess the ball while attacking.
Tumsamehe tuu wachezaji tuwape maua yao wamefanya kazi wamezidiwa mbinu na pep.
 
Laliga nako bingwa wetu barcelona kashachukua dah

Sema Madrid hatupo levo ya mancity kabisa mazee..Mancity ni litimu limoja linatisha sana

Ni kweli kote kote tumepoteza. Ni kweli ubora wetu kwa misimu mitatu au miwili huwezi linganisha na man city. Tungeweza kupiga wengi ila city mfupa ulikua mgumu.

Nature ya mpira wetu tunapenda timu zinazoruka ruka zisizopenda kukaa na mpira mfano, liverpool,intermilan. Maana ata barca huwa anatusumbua
 
Una uhakika bongo hakuna mashabiki wa La liga?

Mimi ni pure cule's.

Sina timu EPL na wala sijawai kuishabikia hiyo ligi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…