ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 16,286
- 31,682
Upo kama mimi siwezi poteza mda kubishana na shabiki wa EPLNilikwisha acha bishana na watu kwenye uzi usiohusu madrid ni upotevu wa muda. Madrid sio klabu ya kubishana shana
Upo kama mimi siwezi poteza mda kubishana na shabiki wa EPL
Sisi hua hatuendi huko kwao ajabu wao wanakuja huku na matusi yao yaani shabiki wa RMA nipoteze mda wangu kubishana na mtu wa Man city ni upotevu wa mda na nguvuKama unataka mabishano kafungue uzi andika unachotaka tuje hapo
Wishful thinkingMancity anaenda kufa nyingi Etihad. Amini nakwambia
Sisi hua hatuendi huko kwao ajabu wao wanakuja huku na matusi yao yaani shabiki wa RMA nipoteze mda wangu kubishana na mtu wa Man city ni upotevu wa mda na nguvu
Madrid Haina mashabiki bongo bana ,hawa ni mamruki wanaojitokeza kipind cha UEFA ,baada yapo yanarudi kwenye team zao
Nan anapoteza muda kuangalia la Liga ,mambo mengine unacheka tu
Inshort mmeshatokaIla Madrid sijui hawa ni mashetani kwenye ligi ya Spain wanaonekana wamechoka huku uefa wanabadilika utafikiri sio wenyewe daaaa
UnajidanganyaHawa wanapigika mzee...
Mmehamisha magoal nitajie team kubwa iliyowahi mfunga city EtihadMancity anaenda kufa nyingi Etihad. Amini nakwambia
Akiwa mtoto Kuna ubaya?Man city haina mashabiki. Shabiki yeyote wa city ni either mtoto sana au shabiki wa timu nyingine anayetafuta faraja kwa city na wote ni wajinga wajinga.
Kwa mtazamo wangu,kila timu ina kazi kubwa kwa sababu sasa hvi kwanza hakuna mambo ya away goal...ni ngoma mnahesabiana tofauti ya magoal..pamoja na kuwa wametoa sare ila timu imeweza kucheza vyema nakutengeneza nafasi...pamoja na hoja kuwa city inapewa chapuo(kama ilivyo misimu yote) lakini sisi tuna team ambayo inaweza kupata matokeo uwanja wowote ule na angalia trending ya madrid toka miaka ya nyuma,second leg hatua ya mtoano ndio inakuwa hatar zaidi kuliko first leg.Mechi ilikua ya ushindi kabisa, Kuna kazi kubwa Etihad
Unawasikia eti wanajitapa wenyewe mashabiki wa La Liga. Humu wote wana timu zao za EPL ila ni glory hunters tu wanaoshabikia Madrid sababu inafanya vizuri UEFA tu.Madrid Haina mashabiki bongo bana ,hawa ni mamruki wanaojitokeza kipind cha UEFA ,baada yapo yanarudi kwenye team zao
Nan anapoteza muda kuangalia la Liga ,mambo mengine unacheka tu
Unawasikia eti wanajitapa wenyewe mashabiki wa La Liga. Humu wote wana timu zao za EPL ila ni glory hunters tu wanaoshabikia Madrid sababu inafanya vizuri UEFA tu.
Bongo hakuna mashabiki wa La Liga ukitaka kuamini hakuna kibanda umiza TZ kinachoonesha mechi za La Liga tofauti na El classico
Nimeongelea kibanda umiza sababu ndio sehemu unaweza pima timu ina mashabiki au laah. Bongo hakuna mashabiki wa La Liga mzee hata wewe na uhakika una timu unayoikubali EPL Madrid umefata glory tu ya UEFA.Kumbe ww mpira unaangaliaga kibanda umiza mzee